Yeye alianzisha ili aanze kuichamba Yanga. This is not fair. Angeanzisha baada ya matokeo. Huo ndiyo ukomavu.Tatizo lipo hapo ulipoanza kuichukulia kama vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye alianzisha ili aanze kuichamba Yanga. This is not fair. Angeanzisha baada ya matokeo. Huo ndiyo ukomavu.Tatizo lipo hapo ulipoanza kuichukulia kama vita
Chukua ndimuUnanitia kichefuchefu.
Mliopo dar/taifa mnafaidi sana kwanza burudani safi kabisa kutoka kwa Asumoney tajiri Dj AllyB alaf kubwa kuliko burudani za uwanjani kutoka kwa chama kubwa Dar YOUNG AFRICAN FC....
Naseeeeeemaje naseeeeeemaje Burudani iendeleee kula bom[emoji378][emoji378]View attachment 2558392
Na sisi tutaenda kujipigia tena[emoji1][emoji1][emoji1]mazembe kaongezwa huko
🙄Yaani leo Uto mshinde hii game hata bao moja na msilazimishe kutafuta mabao mengi hapana kwani mutawafanya wachezaji kuwa na pressure muhimu ni point tu vinginevyo mtasumbuka sana.
Nakubaliana nawe! I wish leo wote wangekuwa WazawaLocal players wetu wajifunze commitment za foreign players Yanga, simba + Azam...
Haya mashindano wenzetu Wakongo na Wazambia wako sokoni
Wazee wetu walikuwa na maono ya mbali sanaNyuma mwiko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula nyama nyamazaHii ni CCM au YANGA
Hata kuanzisha uzi kwa kuichamba Yanga nayo ni fair na ndio maana unaweza kumkuta shabiki wa Yanga kaenda taifa na jezi ga Yanga halafu anashangilia timu pinzani inayocheza na SimbaYeye alianzisha ili aanze kuichamba Yanga. This is not fair. Angeanzisha baada ya matokeo. Huo ndiyo ukomavu.
Labda pengine ya uwanja kujaa majiYanga hawana SOKA tamu.. Tuseme ukweli