FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

FT: Yanga SC 2-0 US Monastir | CAFCC | Benjamin Mkapa | 19.03.2023

Komorozine ilikuwa katika nafasi gani kwenye rank za ubora kwa wakati huo?

Nipe biggest achievement ya hiyo timu

Halafu niambie unaitofautishaje na Zalan
Hayo hayanihusu Chief. Mimi ninachojua, alikula saba!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
We ndio unaona nimepotea, nipo mwingi sana mi sio coward kama nyie

Kibaya tu mpira siangalii kutokana na umeme kufakisha halafu mazingira ya banda umiza yamekuwa tough sana naangalia kwa shida nimeona ni chill home tu
Basi sawa endelea kuenjoy ball
 
I don’t concur with this my dear! Uungwana unaacha wenye harusi waendelee. Kuna Mwana Yanga amemiss opportunity kwa huyu jamaa kuanzisha huu uzi wakati hii si harusi yake
Huu sasa ni ubinafsi wa hali ya juu,hata kuanzisha tu mada unamkasirikia muanzishaji kisa ni Simba fan? Take it easy maisha hayapo serious kiasi hicho
 
As it stands.....
Screenshot_20230319_204957_LiveScore.jpg
 
Back
Top Bottom