kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Warembo wote ni Yanga mkuu[emoji3][emoji3]
Afu wanamagari[emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warembo wote ni Yanga mkuu[emoji3][emoji3]
Hayo hayanihusu Chief. Mimi ninachojua, alikula saba!Komorozine ilikuwa katika nafasi gani kwenye rank za ubora kwa wakati huo?
Nipe biggest achievement ya hiyo timu
Halafu niambie unaitofautishaje na Zalan
"Kantangaze" hii ni maalum kwa ajili ya Warabu tu!Kwahiyo Mnatumia Ngumi Ipi Ndoige, Sunkunyo Ama Hii Mpya Kutoka Jangwa La Sahara
Basi sawa endelea kuenjoy ballWe ndio unaona nimepotea, nipo mwingi sana mi sio coward kama nyie
Kibaya tu mpira siangalii kutokana na umeme kufakisha halafu mazingira ya banda umiza yamekuwa tough sana naangalia kwa shida nimeona ni chill home tu
Wote kasoro mimi tu, ile IST umenirusha hadi leo😀Afu wanamagari[emoji28][emoji28]
Pira biriani
Pira mashamsham
Pira kama lote
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji23][emoji23][emoji23]
Dakika ya 88,💚💛💪
Omba radhi mbili 0 dakika hizi tuwe na pressure kweli?Mnavyoombea mechi iishe na tugoli twenu tuwili
Huu sasa ni ubinafsi wa hali ya juu,hata kuanzisha tu mada unamkasirikia muanzishaji kisa ni Simba fan? Take it easy maisha hayapo serious kiasi hichoI don’t concur with this my dear! Uungwana unaacha wenye harusi waendelee. Kuna Mwana Yanga amemiss opportunity kwa huyu jamaa kuanzisha huu uzi wakati hii si harusi yake
Kama ni rahisi si ungewapiga Raja? Si walikuja hapo kwa Mkapa?Waarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?
Wivuuu😀 simba mnataka mfunge nyie tuWaarabu hawa washalogwa wamekua mdembendembe...yani hii yanga nzitoo mnashindwa kuwapiga hata bao 5 kweli?