Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
MapinduziHiyo jaminus inashiriki ligi gani?
Hey sikiliza kwani kusoma kichwa cha habari uwezi hapo juu au ni jealous tu unayo kama umeona ni Uzi uchwara mbona umekuja na kuandika next time ikiona Uzi haukufai ignore acha kuwa na wivu na chuki dhidi ya member wenzako sawa weweMnapoleta nyuzi zenu hizi jaribuni basi kuandik kinag ubaga, hayo ni mashindano gani, hizo timu zipo nafasi zipoi nk..
Nyuzi uchwara za namna hii, ambazo hawa members hukimbilia kuanzisha ili nao waonekane ni maarufu ni sifa za kijinga.
Hiki kitimu cha Wapi?Tupo tayari kwa mchezo wetu wa pili wa kombe la Mapinduzi hapo baadae ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2859709
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachezaji wetu wakikosi cha pili watachezg kama kawaida, ila kule makoloni wanaua vipaji vya vijana kombe la mapinduzi akina bareke saido onana wa nini sasa
South SudanHiki kitimu cha Wapi?
Kwao ZalanHii jamus inatokea wapi sijawahi kuisikia .hizi timu za ligi daraja la 4 msumbiji huko nazo sikujua zinashiriki hili kombe
Kuna watu mna maisha ya raha sana. Kumbe kuna wenzetu mna usiku na mchana, na huo usiku ukionekana unafanya jambo lolote unaonekana ni wa ajabu??Utopolo Kweli ni shida...
Jamus nayo ya kuidamkia kwa Uzi usiku usiku namna hii..!
wewe kweli mbumbumbu nani kakwambia bingwa mtetezi ni JKU? WAKUU HEBU MUONENI HUYU MTU tehSimba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?
Vijana wa Rage haowewe kweli mbumbumbu nani kakwambia bingwa mtetezi ni JKU? WAKUU HEBU MUONENI HUYU MTU teh
Acha nongwa na wivu usio na kichwa wala miguu.Mnapoleta nyuzi zenu hizi jaribuni basi kuandik kinag ubaga, hayo ni mashindano gani, hizo timu zipo nafasi zipoi nk..
Nyuzi uchwara za namna hii, ambazo hawa members hukimbilia kuanzisha ili nao waonekane ni maarufu ni sifa za kijinga.
Ukiangalia game ya wananchi Typhoid, Malaria, UTI sugu nk unapona. Bila kusahau strees zote zinakufaWataalamu wa kuseti minara ya 5g Leo wamerudi tena yaani ni zaidi ya starehe Leo
Sio kama wale wa Jana mpira kama wanalima
Hoja yako hapo ni ipi?Simba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?