Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM imeshindaNasikia makelele banda umiza
Kwasasa, watakuja.Yanga wote,wamekimbilia shimoni kama panya kaona paka
Nilijua tu nilipoona dkk 7 nikajua tu hapa Kuna jambo linatafutwaMpira haujasimama kivile kiasi Cha kuongeza dk 7! Ndio maana hakuna hata mmoja atakayechezesha AFCON!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa wizi wa kura aisee, dakika 7 za kazi ganiCCM imeshinda
Inapambaniwa nje ya uwanja hakika,Hivyo ndivyo jezi ya Yanga Inavyo pambaniwa.
Dk zikiongezwa awachezi Yanga pekeyao, Ubora wa timu ndio uamua mchezo.Mpira haujasimama kivile kiasi Cha kuongeza dk 7! Ndio maana hakuna hata mmoja atakayechezesha AFCON!!
Baada ya bomu kulipuka mochwari lazima waje hapa mbio mbio wajisifu 😂😂Kwasasa, watakuja.
Na refa kuwapa offsideHivyo ndivyo jezi ya Yanga Inavyo pambaniwa.
Sasa kama mnaweza nanyinyi jaribuni kupambania timu yenu nje ya uwanja.Inapambaniwa nje ya uwanja hakika,
Ubora wa timu + offsides = refa anastahili mgao wakeDk zikiongezwa awachezi Yanga pekeyao, Ubora wa timu ndio uamua mchezo.
Kaimbee taarabu mpira haujuiUbora wa timu + offsides = refa anastahili mgao wake