Wewe nenda kapike. Ni bora ungekiwa jikoni sasa. Hiyo sio kauki yangu ni ya mchezaji mmoja huko Ulaya akimwambia refa wa kike.Mnasemajeeeeeeeeee? Nimesema niniiiiiii?
Tunaondoka na mpira leoooooo.
Nakufaaaaaaa, raha hizi kubwa sana jamani!
Iko waziKama ni hivyo basi Man of the match apewe Azizi Ki
Hakuna mhasibu hapo mkuu πNa bado tunakuja kwenye Uzi wako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TWENDENI KWA MUHASIBUNasubiri hesabbu za kihasibu kutoka kwa okwi boban[emoji23][emoji23][emoji1787]
Usie mpenda kajaNasubiri hesabbu za kihasibu kutoka kwa okwi boban[emoji23][emoji23][emoji1787]
WeweeSISI NDO YANGAAAAAAAAAπ€£ππ
Sema mtani Proved sisi ndiyo Yanga Mahaba yote kwa Yanga.... πππMpendwa Bantu Lady itikia salamu yangu kama upo please...