Ndiyo michezo yako hiyo.Katiwe nyuma huko.
WAPIGA DEBE kama wewe huwa nazibua sana, wewe piga kelele tu hapa behind keyboards.Chakuzingati sijapasuka popote.
Kama unayaweza njoo turuke mtu mbili.
Nakupiga mpaka nakupanda kama farasi, bata weeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azizi ki ana kitu namuona simba msimu ujao
Kukaa kimya inahitaji emotional intelligence kubwa pia. Na hii huja pole pole. Hata mimi zamani nilikuwa naripuka hivyo hivyo mpaka nilipokuja kugundua kwamba mara nyingi ukifanya hivyo nyote na huyo mpuuzi aliyekuchokoza mnaishia kuonekana kuwa wajinga tu. Sana sana unaripoti hiyo comment, mhusika unamtupa kwenye ignore list na maisha yanaendelea. Huwa napambana pale tu inapobidi tena baada ya mtu kuniandama sana vinginevyo kila siku utakuwa unatukanana na majitu humu!Mkuu, hujawazoea?
Mimi imebidi nikae kimya maana watu kama wamewehuka!
Busara ni kukaa kimya, usiwajibu.
Kama mashabiki wa simba walivyokuwa wanatamba humu, now mume karudiUkiona mke anatamba ujue mume hajarudi kazini...
[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Sikuwepo maana nilijua tuu Feitoto mmempiga zongo miguu haichezi akicheza na nyie...ila Yanga wabayaaa
Utoe haki ya ndoa acha stress za Yanga😂Hapa hujaeleweka mtani...hahaha
mume wenu karud nd maan mmetok hapoKaeni kwa muda hapo...
Jamani yamekuwa hayo tena 😳Kaeni kwa muda hapo...
Noma sana mm nilkuwa Sina mpngo wa kunywa lkn raha hii haiwezi kwenda HV HV bila heinken barid tatuYanga Leo utanifanya nilewe mpaka ni bebwe kama kuna mtu anataka pombe aninpm
Hizo kazi chafu tuachie sisi shem ake...Kukaa kimya inahitaji emotional intelligence kubwa pia. Na hii huja pole pole. Hata mimi zamani nilikuwa naripuka hivyo hivyo mpaka nilipokuja kugundua kwamba mara nyingi ukifanya hivyo nyote na huyo mpuuzi aliyekuchokoza mnaishia kuonekana kuwa wajinga tu. Sana sana unaripoti hiyo comment, mhusika unamtupa kwenye ignore list na maisha yanaendelea. Huwa napambana pale tu inapobidi tena baada ya mtu kuniandama sana vinginevyo kila siku utakuwa unatukanana na majitu humu!
Mkuu wa kitengo cha masijala Jf, mimi nilitabiri draw. Kuna shida gani nikishangaa watu waliodhani kuwa Azam atashinda.?Niweke screenshots zako kabla ya mechi na muda Azam anaongoza ? mbona Makolo hamuishiwi kutapatapa.
Asante jirani...ila imetoka ku moyo?Jamani yamekuwa hayo tena.
Kila la heri kesho kwa waarabu
Mhasibu wa mchongo tunakutaka kwenye uzi wako wa kumponda aziz ki kule 😂Azam tutafia uwanjani leo
Noma sana mm nilkuwa Sina mpngo wa kunywa lkn raha hii haiwezi kwenda HV HV bila heinken barid tatuYanga Leo utanifanya nilewe mpaka ni bebwe kama kuna mtu anataka pombe aninpm
Umekituliza sasa aisee 😂Asante jirani...ila imetoka ku moyo?