Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia tutakuja kukupakata baada ya kupakatwa keshoUkiona Utopolo anaongoza ligi ujue simba ajacheza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Wake mtulie bado baba ana shughuli ya kuiwakilisha nchimume wenu karud nd maan mmetok hapo
Kinini? Kuna kitu kilikua kinacheza?Umekituliza sasa aisee 😂
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Uto wakianzaga kufunga wanaishia kupigwa.
FT
YANGA 1-2 AZAM
Wanatoa ile ile style ya Ihefu.
Bila shaka ni wale walozi wenzenu "Mashujaa"Simba tukirudi tunacheza na nani kwenye ligi ?
Muhasibu amewashika pabaya...mkiwa mnacheza mnaomba dua zote Aziza afunge...Nahamia kwa mhasibu wetu wa taifa sasa. Asanteni kwa vicheko, utani wa heshima na furaha. Ndiyo raha ya mpira hiyo. Stay blessed! 🙏🏿
Haikubaliki, chart apandishwe na Yanga halafu aikacheIla Yanga acheni uchawi..yani watu wakitoka kwenu wanakua magoi goi lol..kuanzia makocha mpk wachezaji...kuna namna hapa
Marhaba,Shikamoo Dr
Muda sana sijakuona Huku Dr
Samahani, unajua Mzize ana Umri gani?Hutaki kusikia ukweli??
Tunakutana na wahanga wetu..vyura fc kama sikoseiBila shaka ni wale walozi wenzenu "Mashujaa"
Anajuta kuanzisha Uzi uleNahamia kwa mhasibu wetu wa taifa sasa. Asanteni kwa vicheko, utani wa heshima na furaha. Ndiyo raha ya mpira hiyo. Stay blessed! [emoji1545]
Hamtaki kuachika jamani...Haikubaliki, chart apandishwe na Yanga halafu aikache
Tukamnyonye mate shenzi huyu.Tukitoka tunaamia kule kwenye post ya Popoma aka chizi mchangamfu.
Mkuu tafadhali tembelea uzi wa kihasibuGooooooooooooo
Linapigwa jitu hapa mpaka limetoka damu
Watajua hawajuiNadhani tutafikia kwa Yanga Sc.
Timu imecheza michezo zaidi ya saba mpaka sasa na siku zote Yanga kadri dakika zinavyozidi kwenda ndivyo wanakuwa hatari zaidi kutaka jambo lao lakini mtu anakwambia Yanga inakata moto. Sawa mchambuzi je baada ya kukata moto, Azam kaondoka na point ngapi leo?Yanga huwa na mbwembwe sana dakika za mwanzoni ila hawachelewi kukata moto [emoji23]