Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,016
- 1,722
Kuna mhasibu wa jamii forum amechambua kihasibu jinsi yanga walivopata hasara kumsajili aziz ki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiwapiga nyie nje ndani ndo burudani yetu....Kama wewe ulivyokiwa teja kwa azam , subil ukutane nao wakupige nje ndani
Mmesahau yule mganga wenu ndo na sisi tunamtumia? Tutapambana mpk kielewekeItatokana na mganga wenu kaamkaje, maa jamaa (Mashujaa) nawao wako vizuri kwenye mambo ya ulozi.
Yaan Mpaka useemeeeIla Yanga acheni uchawi..yani watu wakitoka kwenu wanakua magoi goi lol..kuanzia makocha mpk wachezaji...kuna namna hapa
Kweli kabisa.Kabsa Wana yanga ondoeni hofu game ya singida mtakua imala zaidi mtaupiga mpira mwingi ila kwa hizi game za bila bahasha mtaendelea kuhangaika sana
Lete H2H za msimu ulioisha kati ya Simba na Azam ili tujue kama kuna timu au hamna timuAzam hamna timu hapo hiyo ipo wazi
Mi nilijua tu hawa azam watabana lakini mwishoni wataachia 😂Half american leo furaha tu. Nimefika best, wametubania kama kawaida yao, wakaachia. Watasema mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
A citizen for lifeAZIZ KI
mwamba kutoka burkinabe.. Anaweka mpira wa3 kambani wananchi wanatakataaa! Nani aliwakatia tamaa WANANCHI!
Popote pale ulipo mwananchi piga kifua mara3 useme MIMI NI MWANANCHI nawakilisha taifa kuwakanda wauza ukwaju
weka mkuuNiweke screenshots zako kabla ya mechi na muda Azam anaongoza ? mbona Makolo hamuishiwi kutapatapa.
Mganga wao TATU MALOGOItatokana na mganga wenu kaamkaje, maa jamaa (Mashujaa) nawao wako vizuri kwenye mambo ya ulozi.
[emoji1787]Huu sasa usenge, hata droo itawashinda
Match Day.
Young African Sports Club Vs Azam Football Club.
Muda 12:30 Jioni.
Benjamin Mkapa Stadium.
Ni game kali, yenye kutaka ushindi.
Je, Azam atakubali kuendelea kuwa kibonde wa Yanga?
Tukutane kwa Mkapa.
Daima Mbele, Nyuma Mwiko.
All the Best Yanga.
View attachment 2790412View attachment 2790413
Mchezo umeanza
Yanga wanamiliki mpira muda mwingi
Gooooooi
9' Azizi Ki anaipatia Yanga goli
19' Gooooooio
Sillah anasawazisha upande wa Azam FC kwa shuti kali
30' Yanga wanafanya mashambulizi mawili makali lakini Azam wanaoko hatari
40' Azam wanamiliki mpira muda mwingi
44' Fei anachezewa faulo karibu na lango la Yanga
45' Zimeongezwa dakika 2 za nyongeza
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
50' Azam wanapiga pasi nyingi na kumiliki mpira
60' Azam wanapata penati
61' Gooooooooo
Dube anafunga goli la pili kwa Azam
68' Goooooooo
Azizi Ki anafunga kwa shuti kali la faulo
71' Goooooooo
Azizi Ki anafunga goli la tatu
90' Zinaongeswa dakika 4 za nyongeza
Hat Trick ya Aziz Ki isiyo na mbeleko ya penalty kama ya akina Mbumbumbu SC players [emoji2]Aziz kiiiii what a hat trick