FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Katiwe nyuma huko.
Ndiyo michezo yako hiyo.

Kama unayaweza nikutajie location, ama nitajie hapo ulipo tuje tuchemshane.

Ukiugusa uso wangu japo kwa ngumi moja tu nakulipa mshahara wako wa mwezi, bata weeh.
 
Chakuzingati sijapasuka popote.
Kama unayaweza njoo turuke mtu mbili.

Nakupiga mpaka nakupanda kama farasi, bata weeh.
WAPIGA DEBE kama wewe huwa nazibua sana, wewe piga kelele tu hapa behind keyboards.

Mimi nimeshamaliza yangu baada ya mechi kuisha, kama bado una hamu ya kupiga mipasho hapa, tafuta watakakupa support.
 
Mkuu, hujawazoea?
Mimi imebidi nikae kimya maana watu kama wamewehuka!
Busara ni kukaa kimya, usiwajibu.
Kukaa kimya inahitaji emotional intelligence kubwa pia. Na hii huja pole pole. Hata mimi zamani nilikuwa naripuka hivyo hivyo mpaka nilipokuja kugundua kwamba mara nyingi ukifanya hivyo nyote na huyo mpuuzi aliyekuchokoza mnaishia kuonekana kuwa wajinga tu. Sana sana unaripoti hiyo comment, mhusika unamtupa kwenye ignore list na maisha yanaendelea. Huwa napambana pale tu inapobidi tena baada ya mtu kuniandama sana vinginevyo kila siku utakuwa unatukanana na majitu humu!
 
Azam matackle sana imagine wamepewa na penati ila wapi
 
Kukaa kimya inahitaji emotional intelligence kubwa pia. Na hii huja pole pole. Hata mimi zamani nilikuwa naripuka hivyo hivyo mpaka nilipokuja kugundua kwamba mara nyingi ukifanya hivyo nyote na huyo mpuuzi aliyekuchokoza mnaishia kuonekana kuwa wajinga tu. Sana sana unaripoti hiyo comment, mhusika unamtupa kwenye ignore list na maisha yanaendelea. Huwa napambana pale tu inapobidi tena baada ya mtu kuniandama sana vinginevyo kila siku utakuwa unatukanana na majitu humu!
Hizo kazi chafu tuachie sisi shem ake...
 
Niweke screenshots zako kabla ya mechi na muda Azam anaongoza ? mbona Makolo hamuishiwi kutapatapa.
Mkuu wa kitengo cha masijala Jf, mimi nilitabiri draw. Kuna shida gani nikishangaa watu waliodhani kuwa Azam atashinda.?

Hebu weka hizo screenshots hapa.
 
Back
Top Bottom