Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mimi sikuwa na presha yoyote kwani najua Azam ni vibonde tu wa Yanga. Azam sasa wakamalizie hasira zao kwa vibonde wao Simba. Tatizo langu ni IHEFU
Huu ujumbe Mbumbumbu SC fans wameupita kama vile hawauoni [emoji124][emoji4]Halafu kuna kijana mmoja alitaka kulipwa sawa na Aziz K.
Mechi ikiisha Azam akishinda nita enjoy Makala za Zakazakazi
Huu sasa usenge, hata droo itawashinda
Bado hujasemaYANGA tamu nyie
Kwahiyo b unaamini kabisa mtatufunga? Ngoja niache maana nilichotaka kukisema sio poa.Hongereni kwa ushindi, na angalau mmelinda utamu wa ligi, kuwapita sita au tano mapema hivi ingeharibu utamu wa ligi. Tungekuja kuwafunga ndio zingekuwa tisa.
Bora mmepata matokeo leo.
Ova
Simba mnajirosha sana.
Sahihi kabisa. Hawa watu sijui wana shida gani. Huwa wanapenda sana kutukana watu hovyo humu jukwaani.Umbumbumbu na ustaarabu wapi na wapi?
Huoni hata nyuzi nyingi huwa Mbumbumbu wanapovukwa na matusi kedekede?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wengi wao ni ushamba unawasumbua.Sahihi kabisa. Hawa watu sijui wana shida gani. Huwa wanapenda sana kutukana watu hovyo humu jukwaani.
Ukiandika kitu halafu wakiona hawajafurahishwa nacho, huwa hawawezi kumjibu mtu kwa hoja! Badala yake wanakimbilia kutukana.
Niwe tu mkweli; watu wanao ongoza kwa idadi kubwa kwenye ignore list yangu, basi ni mashabiki wa simba. Na sababu kuu ya kuwaweka huko ni ile ya midomo yao tu michafu.Wengi wao ni ushamba unawasumbua.
Subiri mkutane naoAzam hamna timu hapo hiyo ipo wazi
Tumekusubiri kule kwenye ofisi yako ya uhasibu wewe ujatokeaUto msikimbie kibanda, sasa nitamcheka nani
Pole mtani natumaini umepata pillsMtani jana afya iliyumba kidogo.
Saa hii nacheka tu kwenye uzi wa Muhasibu. π
Azam ni mwepesi kuliko biscuit iliyolowekwa
Nimepata Mtani. πPole mtani natumaini umepata pills