Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mimi sikuwa na presha yoyote kwani najua Azam ni vibonde tu wa Yanga. Azam sasa wakamalizie hasira zao kwa vibonde wao Simba. Tatizo langu ni IHEFU
Azam anakamia tu game, atapigwa kama mbwa koko aliekula samaki wa siku kuu.