XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Aingie nani sasa, Konikoni ??Yanga ameshinda tayari hii mechi,kipindi Cha pili naziona goli mbili kwa mbali,kocha toa hiyo taka taka mzize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aingie nani sasa, Konikoni ??Yanga ameshinda tayari hii mechi,kipindi Cha pili naziona goli mbili kwa mbali,kocha toa hiyo taka taka mzize
Ataingia nani , musonda hata benchi hayupoYanga ameshinda tayari hii mechi,kipindi Cha pili naziona goli mbili kwa mbali,kocha toa hiyo taka taka mzize
Hii game konkoni aingie na atengeneze jina lake kwa gamondi, awe starting.
Mzinze ni bocco wa yanga.
Lolote litokee
Mi naona kama Yanga wanazidiwa labda waje kubadilika kipindi cha piliAlitakiwa aanze konkoni?
Acha kujiteteaNaona makolo wameroga uwanja lakini lazima Azam akandwe
Kabisa mkuu...Huyu ndo mzize mnaye tegemea awafunge Alhy ? [emoji23][emoji23]
Bora ata uyo,aje ajaribu jaribu shuti kadhaaAingie nani sasa, Konikoni ??
Niondolee usengee wako apaUnataka uingie wewe? Basi pasha misuli joto.
Msimu ulioisha alichukua tuzo ya under 20Mzize tatizo umri umemtupa mkono akili inataka mwili hautaki
Musonda ni majeruhi?
Waliokuwa wanafunga zile tano leo hawajacheza?Yanga hawana washambuliaji wanabutua tu.
Chomoa huo mwiko nyuma. Unakuumiza mpaka unakosa akili.Niondolee usengee wako apa
Ndicho kilichobakiLinatakiwa goli moja haijalishi nani atashinda
Under 20 ya mchongoMsimu ulioisha alichukua tuzo ya under 20
Wanashambulia bila malengo n kama wanakutana tu na ball.. walau huyu silla ana kitu Ila Hana pumzi na chemistry na wenzakeMbona wameshambulia hapa mwishoni mwanzo mwisho
Umepanik brazaNiondolee usengee wako apa