FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Kila la kheri Timu ya Wananchi. Tunaenda kupambana kujitengenezea mazingira mazuri kuelekea hatua inayofuata.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Mtaniiii upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii mechi itachezwa dakika 75 ikizidi sana 80
 
Yaani acha kabisa na mashabiki pia katupata yaani hatumwachi nyuma peke yake. [emoji23][emoji23]

Manara hana chake tena pale. Akimaliza adhabu aendelee tu na mambo mengine.
Hamumtaki manara tenaa? Mbona ghaflaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nilisema kama kocha akikurupuka kupamga kikosi kutokana na mechi ya mwisho dhidi ya timu ya daraja la pili ningemshangaa.

Bahati nzuri kastukia mtego
Huo mtizamo wako ila Gede,mguuni yupo vizuri, ana nguvu na anajua kuhiifadhi mpira tatizo lipo wenye kufunga ambalo hata Misonda analo.
 
Yanga ikishinda au KUTOA droo nitaumia sana
20240224_190539.jpg
 
Wale Waarabu bado wanaendeleza fujo
 
Back
Top Bottom