Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Una hakika umekaa upande mzuri wenye usalama ambao hutapata bughdha kushangilia pindi CR Belouzidad wakifunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika umekaa upande mzuri wenye usalama ambao hutapata bughdha kushangilia pindi CR Belouzidad wakifunga?
Mimi nilisema kama kocha akikurupuka kupamga kikosi kutokana na mechi ya mwisho dhidi ya timu ya daraja la pili ningemshangaa.Angeanza Gede ila sio mbaya
Mtaniiii upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila la kheri Timu ya Wananchi. Tunaenda kupambana kujitengenezea mazingira mazuri kuelekea hatua inayofuata.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msalimie sana ujumbe wangu kwake akushikilie ile saa mwarabu ameshapigika na wewe huamini unachokiona. [emoji23]
Hamumtaki manara tenaa? Mbona ghaflaaaYaani acha kabisa na mashabiki pia katupata yaani hatumwachi nyuma peke yake. [emoji23][emoji23]
Manara hana chake tena pale. Akimaliza adhabu aendelee tu na mambo mengine.
Huo mtizamo wako ila Gede,mguuni yupo vizuri, ana nguvu na anajua kuhiifadhi mpira tatizo lipo wenye kufunga ambalo hata Misonda analo.Mimi nilisema kama kocha akikurupuka kupamga kikosi kutokana na mechi ya mwisho dhidi ya timu ya daraja la pili ningemshangaa.
Bahati nzuri kastukia mtego
Wachaaa wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa Ya Waarabu Ni Dar Young Africans Karibu Benjamin Mkapa Ushuhudie Mambo Safi Kutoka Kwa Mabingwa