Nilikuambia. Inabidi Simba tujipange. Kwa mpira huu na kikosi chetu nimeingiwa na uoga tukikutana tena.Aisee hii Yanga imekuja kunishangaza sana
Mengi mnoTunawaambia tu tulishaweka mafaili sawa kule masijala.
Tukifukua nyuzi zenu mje. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mtaniii hebu tulizanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunawaambia tu tulishaweka mafaili sawa kule masijala.
Tukifukua nyuzi zenu za mje. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatu bilaaaaa🤸🤸🤸🤸🤸💚💚💚💚💪💪💪Rafiki tatu. 🤸🏽🤸🏽
Naumia ila kwa namna nyingine nawapongeza kwasababu sikutarajia mechi itakuwa hivi
Network imekataNani anaumia huko alipooo??
Ile 5 hamkuonewa.Aisee hii Yanga imekuja kunishangaza sana
Pesa iliyotoka leo sio mchezoinatafutwa rekodi hapa
al ahly hawez mpiga yanga hata aruke vipiKufikia apa itabdi yanga waongeze 1 bila kufungwa afu CR ampige medeama za kutosha while yanga ahakikishe apigwi nyingi na al ahly