PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Ndo hivyo ndgNilitamani ufafanuzi katika hili, nilijua sheria za uefa na caf ni tofauti kwenye sheria za kufunga/kufungwa mkilingana points.
Asante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo ndgNilitamani ufafanuzi katika hili, nilijua sheria za uefa na caf ni tofauti kwenye sheria za kufunga/kufungwa mkilingana points.
Asante.
Sasa robo fainali nayo ni habari mpya kwa Simba?Kila la heri na hizo backup zako. Ila ukumbuke tu Yanga tayari ameingia hatua ya robo fainali huku akiwa na mchezo mmoja mkononi!
Na hii ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Ya Mwenge?
Haha hongereni mtani wangu mstaarabu, wewe na Charles kilian ndio mashabiki pekee wa Yanga mnaojielewa humu JF, wengine wote ni vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]Mtani nakusalimia.
Ahsanteee na hongereni sanaa.Pole shoga [emoji2960]
Ushindi wa 4-0 umeibeba yanga mpk ribo FainalBelouizdad akimfunga Medeama 4 bila kisha Al Ahly akamfunga Yanga 4 bila anaenda robo fainali Ahly na Belouizdad.
Kwahiyo sio lazima Belouizdad amfunge Medeama 6 bali hata ahly akimfunga Yanga 5 kisha Belouizdad akashinda 3 Yanga safari inaishia hapa.
Kwenye mpira lolote linawezekana kama ilivyowezekana kwa kibonde Yanga kumfunga Belouizdad.
kuna mtu nilimwambia JOB akiongea kwenye press tunashinda kwa kishindoNilimwona Injinia akiwa amem'beba Dick Job
Nimesikia kuna timu ilikua inaombea mwarabu apigwe 5 ili wachekane vizuriLeo tumempiga 5imba aliyejificha kwa waarabu
Asante sana dada yanguHahaha hongereni mtani, wewe na Charles kilian ndio mashabiki pekee wa Yanga mnaojielewa humu JF, wengine wote ni vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]
Najua maumivu unayopitia. Ni sawa na kugongwa wote na aliegongwa. Bleach ni ndumba mama?. PoleUkijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...
Mamelodi anawakalishaSiyo kwa hii Yanga,hii Yanga inafika fainali,ilionja utamu wa fainali,imeingia huku,inatoboa.
Itakuwa ndio alipewa mikoba ya uchawi.kuna mtu nilimwambia JOB akiongea kwenye press tunashinda kwa kishindo
Sheria za CAF katika mashindano haya ni kuwa, ikiwa timu zitalingana points, kanuni inayofuata ni face to face results, yaani utofauti wa magoli baina yao walipokutana.Nilitamani ufafanuzi katika hili, nilijua sheria za uefa na caf ni tofauti kwenye sheria za kufunga/kufungwa mkilingana points.
Asante.
Ni kweli hata kupigwa tano tano back to back Simba ni muasisiTuliza kichwa unataka nikufurahishe? Hakuna ambalo mnyama hajafanya..usinilazimishe kuamka...
Kumbeee...kwa sbb zenu mlizishazisahau...Ni kweli hata kupigwa tano tano back to back Simba ni muasisi
Ndo nakoenda kupunguzia machungu huko maana dah nimeumia sana..Dokta we nenda kapunguze machungu kwa dem wako Mercy uliempora DeMostAdmired
Pole Mtani ndo ujue kila muosha uoshwa. Hapo wanakusubiria kwa hamu.Ngebe zao ntawakataa tar 2, wananijua vzuri, huwa wanakimbiana na kuzima cm.
Nilivyo mwehuu huwa nawasuuza wote kwa Pa1.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna m1 ananambia hapa, ananiwekeaa kiporoo, had match na jwaneng iishe ndo tutaongea vzr, maan asije akajimaliza afu kikamkuta kitu hyo siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha weeYanga bado hawatapita hili kundi, mechi ijayo anapoteza kwa Ahly halafu Belouzidad wanashinda dhidi ya Medeama. Safari ya Yanga itakomea hapo
Naomba kujua mushafuzu?Sasa robo fainali nayo ni habari mpya kwa Simba?
Nyie mnavumna rekodi zenu wenyewe
Sisi huko kwenye robo sio malengo kabisa