Naahidi kuchangia mifuko 20 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa sanamu la Rage! 😁Belouizdad akimfunga Medeama 4 bila kisha Al Ahly akamfunga Yanga 4 bila anaenda robo fainali Ahly na Belouizdad.
Kwahiyo sio lazima Belouizdad amfunge Medeama 6 bali hata ahly akimfunga Yanga 5 kisha Belouizdad akashinda 3 Yanga safari inaishia hapa.
Kwenye mpira lolote linawezekana kama ilivyowezekana kwa kibonde Yanga kumfunga Belouizdad.
😆 kile ki simu ka mudhathiri..Itakuwa ndio alipewa mikoba ya
Mayele ndio kiongozi wenu?Mbona unachanganya ndugu ... Mangungu au Mayele?
Kuna mchambuzi mmoja wa Online TV sijui anaitwa Chagamba au sijui yule mwenzake ndiye anaitwa Chagamba, huyo Jamaa anadai Pacome kwa Chama bado sana, anatakiwa ajifunze sana kwa Chama.Chama ajifunze kwa Pacome (Kasi, Nguvu, akili, utulivu)
😂Tulia wewee
It's because I'm not feeding your ego mkuuDogo siku hizi sijui umekuja kuwaje yani
Mkuu umeangalia mpira wa leo?Mamelodi anawakalisha
Lakini Chama si atacheza?Mkuu, jamaa wanatisha. Mpaka nimeingia woga itakuaje tukikutana nao tena.
Lol Pole sanaHilo domo la azizi jamani...khaaa...
Leo jangwani kuna kazi...
Fix kwanza hizo grammar kwenye kiswahili chakoNaomba kujua mushafuzu?
Kutoka kwenye official page ya CAF: Yanga to the quarter final
Hii ni kutoka kwenye official page ya CAF wameeleza Yanga imeshaingi robo fainali regardless na matokeo ya mechi ya Mwisho. Picha inajieleza.www.jamiiforums.com
Mkuu, mm sitaki kujidanganya. Naipenda Simba ila Yanga wamenipa hofu kwa wanachokifanya kwa hii misimu miwili.Lakini Chama si atacheza?
Kwani umeandika kiswahili au kiingereza?Fix kwanza hizo grammar kwenye kiswahili chako
Inabidi tukubali tu japo kibishiDah!....Uto...wameweka historia aisee.....hatuna cha kuwatambia tena.
Hongera kwao..
Usimtukane mweleweshe,kanuni wengi hawazijui.Huu ushuzi wa wp?