Kilichomponza mwarabu .....ni kuvaa jezi nyekundu[emoji23]Watani wangu wapendwa sana...
Charles kilian
Tate Mkuu
Ngalikihinja
Labani og
Nawasalimia kwa jina la 4G MAJINI.
Karibuni Calabash niwanunulie kuku mfurahie ushindi wenu wa kuingia robo fainali ya kwanza baada ya miaka 75...duuhh...hii ni balaa
Aziz kiDiarra
Bacca
Yao
Paccome
Aziz Ki
Unamjua Mamelodi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi yoyote aje lakini atapigwa nyingi sana akijichanganya mtu kazi anayo
Wewe unamjua?Unamjua Mamelodi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilisema hapa sisi ni Yanga SC wewe πKaka hii ni Jioni ya Leo baada ya ushindi wa goli nne dhidi ya belouizdad πππ€£π€£
Namjua,Wewe unamjua?
Yeye kama nani huyo anakutaja na akina Petro de Luanda wanakamndaga vizuri tu mtani wangu au huwajui Petro de Luanda nyie endeleeeni kutuchukulia poa tu πUnamjua Mamelodi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa kaka na Kuna watu walinichukulia poa π€£πππdaaah kama ulijua
Kiko wapi sasa sisi ndio Yanga SC wewe ππKila la kher CR BELOUIZDAD.
FT:ARAJIGA KIDS 0 VS 2 CR BELOUIZDAD.
Una kituKaka hii ni Jioni ya Leo baada ya ushindi wa goli nne dhidi ya belouizdad [emoji23][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Genta katubu [emoji23][emoji23][emoji23]hakuna kama yanga fc tanzania na afrika hii. ukiichukia yanga fc utakuwa na pepo. sijutii kuishabikia yanga fc na nitaendelea kuishabikia daima hasa hasa jamvini jamiiforums
We unatukana watu wakati hata ujasiri wa kuangalia mechi umekosaMashabiki wote wa simba pumbavu zenu, kama kuna mtu anabisha atoke mbele
UniiteUzuri unajuwa San mpira directly tumetimbaaa
Kesho nitakuwa mborikp jioni[emoji41]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lala...utazimia kama kimbau mbau wenu..Kaka adriz risiti hii hapa embu njoo tucheke hapa mwingine huyu hapa mungu kamlaani hapaππππ€£π€£πππ
View attachment 2915265
π€£ππππLala...utazimia kama kimbau mbau wenu..