Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Shoga ukimaanisha rafikiyako au ukimaanisha yeye ni shoga?Pole shoga [emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga ukimaanisha rafikiyako au ukimaanisha yeye ni shoga?Pole shoga [emoji2960]
Pataje hapo paleee tuje tuchukue buku buku zetu ..!!Mkishinda hii mechi ya waarabu mje mniombe buku nimekaa paleeee
Yaani mnakandwa kwa Lupaso na mnasugulia Misri
Sema tena..!!Mkuu unisamehe, mimi siwezi kukutakia hata droo tu. Upigweeeeeeee
Huu moto wanaonyesha sahiv ni mkubwa sanaAziz ki
Diara
Bacca
Hawa walikuwepo msimu uliopita na walifanya vzur, ila alitoka mayele pekee ake
Paccome na yao hawa nakubali.
Nikimaanisha rafiki yangu, shoga yanguShoga ukimaanisha rafikiyako au ukimaanisha yeye ni shoga?
Shadeeeeya....Pole Mtani ndo ujue kila muosha uoshwa. Hapo wanakusubiria kwa hamu.
Mie naombea game iende ndivyo sivyo ili wakusuuze vizuri. [emoji1729][emoji1729]
Hao unaowasema vibonde ndio mabingwa wa ligi ya Algeria mara nne mfululizoHistoria ya kufunga vibonde wa uarabuni?
Kwa hisani ya majini kweli wala si ardhini Pisi Kali toka Makolokolo SC [emoji847]Kwa hisani ya,MAJINI
Kwenye press mara nyingi yeye ndio muongeajikuna mtu nilimwambia JOB akiongea kwenye press tunashinda kwa kishindo
Mamelodi ni 5imba aliyechangamka tu..!! Analiwa kama amesimamaUnamjua Mamelodi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hongereni sana. kwa sasa ARAJIGA KIDS Mpo kwenye kiwango bora sana MUMESTAHILI MULICHOKIPATA.Kiko wapi sasa sisi ndio Yanga SC wewe
Kwakweli..!! Maana uwezo tulionao si wa binadamu wa kawaida..!!Kwa hisani ya,MAJINI
Tatu FC umeliona PIRA GAMOND?Kila la kher CR BELOUIZDAD.
FT:ARAJIGA KIDS 0 VS 2 CR BELOUIZDAD.
Hongereni sana ARAJIGA KIDS. MUNAKITU MUTAFIKA MBALI.Tatu FC umeliona PIRA GAMOND?
Yaani umeona ukiishia hapo kwenye maneno HONGERA SANA, utatupiwa JINI, ukaamua ulete na umbumbumbu FC wako.Hongereni sana ARAJIGA KIDS. MUNAKITU MUTAFIKA MBALI.
mkuu umekunywa chai lakini? Sasa hapo umbumbumbu upo wapi?Yaani umeona ukiishia hapo kwenye maneno HONGERA SANA, utatupiwa JINI, ukaamua ulete na umbumbumbu FC wako.
Mara hii umesahau kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa 5imba alisema nyie ni mbumbumbu na huku akiwa bado mwenyekiti? Hapo ndipo umbumbumbu FC ulipotokea.mkuu umekunywa chai lakini? Sasa hapo umbumbumbu upo wapi?
sawa MBWA kwa hisani ya PRF. LUC EYMAELMara hii umesahau kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa 5imba alisema nyie ni mbumbumbu na huku akiwa bado mwenyekiti? Hapo ndipo umbumbumbu FC ulipotokea.