financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ni kweli mkuu, thank youuHuwa hakuna haraka kwenye hayo mambo ujue.
3rd floor ilikuwa inasubiria mtu sahihi na ndio mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu, thank youuHuwa hakuna haraka kwenye hayo mambo ujue.
3rd floor ilikuwa inasubiria mtu sahihi na ndio mimi
Mayele keshakazwa 2Masaa ya Uto kupotea humu yanazidi kupungua. Kama una mbwembwe fanya sasa
Karibu kwenye Moyo wangu!Ni kweli mkuu, thank youu
Tunakaribia hapo.Hapa Uwanja wa Mkapa Vigoma vinapigwa, Vibidada vinajimwaga ni hatari sana.
Naona kuna mechi nyingine hapa. Mpira ni kona sasaKaribu kwenye Moyo wangu!
❤️
Mimi nipo hapa kwenye Jukwaa nawaangalia masteji shoo wanavyo jimwaga.Tunakaribia hapo.
Tuko Bar ya nje tu hapa
Nimeingia mwili mzima natumai nafasi ni kubwa ntatosha kabisa 😀Karibu kwenye Moyo wangu!
❤️
Ninaona 😂😂Hapa Uwanja wa Mkapa Vigoma vinapigwa, Vibidada vinajimwaga ni hatari sana.
Thank you Darling love💕Nimeingia mwili mzima natumai nafasi ni kubwa ntatosha kabisa 😀
Kanyaga mkuuMimi nipo hapa kwenye Jukwaa nawaangalia masteji shoo wanavyo jimwaga.
Na safari zangu pembeni.
Ukitoa Elfu Kumi unapata Safari Kubwa 6.
Ndio nazikanyaga hapa hapa Bar ya Nje ya akina Chichi Somboko.
Hii ishaisha mkuu 😂😂👋Naona kuna mechi nyingine hapa. Mpira ni kona sasa
Wapo wa Kumwaga.Ninaona [emoji23][emoji23]
😂😂😂 kwa kweeli.Nipo leo ndugu ,hii ndio timu pekee bongo ambayo natazama mechi zake timu nyingine haswa Makolo naona kama nacheki Katuni zinarukaruka.
Best wishes watani..🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚CR Belouizdad
📆 24.02.2024
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 1:00 Usiku
View attachment 2914180
Hongera zako Mtani.Hata mie ni mzee wa zamani nisiyependa kuachwa na vituko vya wahuni 😂