Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Kabisayoung africans ina wachezaji ambao licha ya ubora mkubwa waliokuwa nao lkn wanacheza pia kuipambania badge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisayoung africans ina wachezaji ambao licha ya ubora mkubwa waliokuwa nao lkn wanacheza pia kuipambania badge.
Usiwakosee heshima wanaenda kwenye SHEREHE ya mableech🤣🤣Ushindi ni kuvuka hatua ya makundi sio kushinda mechi ambayo haikupeleki popote
Wewe kumbe hamnazo eeeh sasa ili Yanga afuzu si inatakiwa ishinde kwanza hii mechiUshindi ni kuvuka hatua ya makundi sio kushinda mechi ambayo haikupeleki popote
Umeona walianza kusema hatushindi, sasa hivi wameanza maneno eti hatuvuki makundi.Mumeanza kubadili kauli
Umeona walianza kusema hatushindi, sasa hivi wameanza maneno eti hatuvuki makundiMumeanza kubadili kauli
Sema ukweliKinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Yuda match bado aija isha ..uto ni uto tuMimi simba .. Lakini honge6 Yànga ya GAMONDI
Mwanzo mzuri...Hongera zako Mtani.
KAA TULIA ANGALIA BOLINa wewe umewekewa hina za warembo kichwani?
Mapumbavu sana haya majamaa hayana akiliUmeona walianza kusema hatushindi, sasa hivi wameanza maneno eti hatuvuki makundi.
Ndio maana Rage anaheshimiwa kila siku ,kwa fikra hizi mtaitwa Madunduka kila siku.Kinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
na vichan apo mnayoyaona n majini yetu pia