Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LEOOOOOO NI LEOOOOAisee hii Yanga imekuja kunishangaza sana
Dah😂😂😂Ushindi ni kuvuka hatua ya makundi sio kushinda mechi ambayo haikupeleki popote
KumekuchaKinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Rafiki tatu. 🤸🏽🤸🏽Hilo hapooo rafikiii Ki Aziz 💪💪🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Kwani kacheza na CR peke yake??Mwenye goli nyingi alizomfunga nani?
Kwakweli tusimkatie mtu tamaaLEOOOOOO NI LEOOOO
Bado haijakushangazaAisee hii Yanga imekuja kunishangaza sana