Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniiiii, mie nisijibu quotes why?
C ndo km hivi, niko winja winja hapaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniiiii, mie nisijibu quotes why?
C ndo km hivi, niko winja winja hapaaa.
Na tunakwenda fainali mkuuYani kufuzu robo fainali moja tayari tuanze kuambiwa tujifunze kwa Gongowazi??
Km ambavyo wataumia wengine na kufungwa watafungwa Jwaneng. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kufungwa afungwe mwarabu kuumia waumie wengine. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mashabiki wa yanga wanavyosumbua hapa, aaaah hatariiii tupuuu.Hahahaaa. Lol
Kama wamepigwa na utopolo hizo bao 6 wazitolee wapii...wanajichosha..Hakuna hicho kitu.
Umesema hujui kitu ueleweshehii si kamba kweli
Wapeee wapeee haoo...huo ndo ukweli hapa ni titi fo tati..Km ambavyo wataumia wengine na kufungwa watafungwa Jwaneng. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo ulipo unafurahia nini, zaidi tu ya kusikilizia maumivu!Na siwakimbii nawakabili mmoja mmoja.
Kushinda kwenu hakuwezi kuninyima haki yangu ya kufurahia maisha mengine
Kwanza hiyo kanuni haipoo, inaangaliwa H2H ya wao wenyewe binafsiiii.Kama wamepigwa na utopolo hizo bao 6 wazitolee wapii...wanajichosha..
basi nitalipeleka kijiweni keshoUmesema hujui kitu ueleweshe
umefafanuliwa unabisha unataka nini tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko winjaa winjaaaa.Wapeee wapeee haoo...huo ndo ukweli hapa ni titi fo tati..
Fainali tutafika tu inshaallahNa tunakwenda fainali mkuu
Dogo siku hizi sijui umekuja kuwaje yaniMashabiki wote wa simba pumbavu zenu, kama kuna mtu anabisha atoke mbele
Na tunakoelekea tutawasumbua sana Mtani. 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mashabiki wa yanga wanavyosumbua hapa, aaaah hatariiii tupuuu.
Nina backup kibao za kunipatia furaha ukiachana na matokeo ya Yanga kufungwa.Sasa hapo ulipo unafurahia nini, zaidi tu ya kusikilizia maumivu!
Mtani nakusalimia.Dogo siku hizi sijui umekuja kuwaje yani
Belouizdad akimfunga Medeama 4 bila kisha Al Ahly akamfunga Yanga 4 bila anaenda robo fainali Ahly na Belouizdad.Ili Cr belouzdad ipite inahitaji kuifunga modeama
goli 6-0
kisha Al ahly amfunge YANGA goli 2-0