Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Umesahau makoĺo alikojolewa vitano nae kibonde?Historia ya kufunga vibonde wa uarabuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau makoĺo alikojolewa vitano nae kibonde?Historia ya kufunga vibonde wa uarabuni?
ILa mi najua tunafungaMechi ya simba bado ngumu maana hata Galaxy pia ana nafasi, akishinda na kule Wydad akapigwa anafuzu.
Majini yanadili na mayele tu mpaka watoke 😂Hao achana nao.
Naona majini yetu yameendelea kumkamata Mayele miguu 🤣🤣
Inawezekana ndio sababuGolikipa tulikua hatuna Metacha hajui kuwapanga wachezaji wake
Someni huu utabiri wangu sisi ni batoto ya nzambe💚💚💚💚Nyie mwenzenu naskia Raha sana yaani timu yangu ya mazembe inaongoza goli mbili hukoo na baadae timu yangu pendwa Kabisa watoto wa jangwani tunashinda goli 4
Uzi umedoda [emoji4]Kumekuchaaaa tenaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata nov 5 2023 aliongeaga yeyeItakuwa ndio alipewa mikoba ya uchawi.
Naaam chukua Ma-flowers yako mkuu [emoji106]Someni huu utabiri wangu sisi ni batoto ya nzambe[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
Nikupatie k-vant au nyagi ? [emoji23]
Itumie hii kwalesima kujitakasa una gundu la hatariMkuu unisamehe, mimi siwezi kukutakia hata droo tu. Upigweeeeeeee
Unasemaaa?Kinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Unasemaa?Ushindi ni kuvuka hatua ya makundi sio kushinda mechi ambayo haikupeleki popote
Kwani unasumbuliwa na ndoto?🤣🤣🤣 Ushamaliza kuota?
Yaani imenikera sana, hakukuwa na Network sijui shida ni nini kmmk zao wasimamizi wa uwanja.Hapa Uwanjani Network hamna kabisa
Mi nataka kitimoto banaa..!!!Watani wangu wapendwa sana...
Charles kilian
Tate Mkuu
Ngalikihinja
Labani og
Nawasalimia kwa jina la 4G MAJINI.
Karibuni Calabash niwanunulie kuku mfurahie ushindi wenu wa kuingia robo fainali ya kwanza baada ya miaka 75...duuhh...hii ni balaa
Tena wameliwa kiroho mbaya kabisa, roho ya 3 kwa mtungiHIVI MAYELE ANAJISKIAJE HUKO ALIPO..,na jana wameliwa kiboga na Tp Mazembe😂
Naomba buku mkuuMkishinda hii mechi ya waarabu mje mniombe buku nimekaa paleeee
Yaani mnakandwa kwa Lupaso na mnasugulia Misri