FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Kwenye press mara nyingi yeye ndio muongeaji
MI nilidhani wanaongeaga kulingana na game
kama wkiwaga ugenini wanapozungumza kingereza nikajua ndo anaongeaga MUSONDA yani nilidhani kuna namna kama itifaki fulani
 
sawa mkuu..ni wakati wenu huu munahaki ya kufurahi.
Vifuatavyo ni vichaka vyenu mlivyokuwa mnavitumia kujificha;

1. Wa kimataifa.. werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa kimataifa imekufa kifo cha barafu juani.

2. Wa robo fainali.... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa robo fainali, jana imekufa kifo cha barafu juani.

3. Wa ligi ya mabingwa... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa ligi ya mabingwa imekufa kifo cha barafu juani.

HUWEZI MTAMBIA MTU KWA KITU AMBACHO NA YEYE ANACHO
 
Vifuatavyo ni vichaka vyenu mlivyokuwa mnavitumia kujificha;

1. Wa kimataifa.. werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa kimataifa imekufa kifo cha barafu juani.

2. Wa robo fainali.... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa robo fainali, jana imekufa kifo cha barafu juani.

3. Wa ligi ya mabingwa... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa ligi ya mabingwa imekufa kifo cha barafu juani.

HUWEZI MTAMBIA MTU KWA KITU AMBACHO NA YEYE ANACHO
sasa mbona nyie munatamba kwa vitu ambavyo sisi makolo tumevifanya miaka mingi.
 
Haha hongereni mtani wangu mstaarabu, wewe na Charles kilian ndio mashabiki pekee wa Yanga mnaojielewa humu JF, wengine wote ni vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Ahsante Mtani.
Hatimaye tumevuka malengo tuliyojiwekea ya kuishia makundi.

Ila yote kwa yote nyie ndo mlikuwa chachu ya kutufanya tupambanie kuionja hiyo robo mnayojivuniaga nayo. 😀
 
Hongera sana kwa viongozi wa Yanga, benchi la ufundi na wachezaji.
Upande wa mashabiki, kwa ukubwa wa Yanga kwa kweli inatia aibu sana. Mashabiki wa Yanga wengi wamekuwa na kelele mitandaoni na mitaani, lakini kwenye mahudhurio vieanjani hakuna kitu kabisa.
Sitashangaa kama yale mahudhurio ya jana, nusu walikuwa ni mashabiki wa Yanga na nusu ni mashabiki wa Simba.
Mahudhurio ya jana hayana tofauti na mahudhurio ya mechi kati ya TP Mazembe na waarabu iliyofanyika Benjamin Mkapa. Yaani wenyeji tena timu kubwa kama yanya inashindana na wageni waliojamishia mechi yao nchini.
Mashabiki wa Yanga badilikeni muanze kuhudhuria viwanjani. Mnawacheka Simba kuzindua Whatsaap group wakati wenzenu kupitia hiyo ndiyo wanajenga mtandao wa kuhamasishana
Kojoa ukalale
 
Wale safari imeisha, sisi na majini yetu tumesonga mbele.

Nilipata za ndani kuwa Simba wanataka kumchukua msimu ujao, tujiandae.
Aah mkuu Simba hawana pesa za kumlipa ule mshahara, million 100 tu kwa manzoki walichemka [emoji3]
 
Back
Top Bottom