Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ahahahahaa..!! Umepaniki blaza..!! Yanga inawapanikisha wana5imba wotesawa MBWA kwa hisani ya PRF. LUC EYMAEL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaa..!! Umepaniki blaza..!! Yanga inawapanikisha wana5imba wotesawa MBWA kwa hisani ya PRF. LUC EYMAEL
sawa mkuu..ni wakati wenu huu munahaki ya kufurahi.Ahahahahaa..!! Umepaniki blaza..!! Yanga inawapanikisha wana5imba wote
MI nilidhani wanaongeaga kulingana na gameKwenye press mara nyingi yeye ndio muongeaji
Vifuatavyo ni vichaka vyenu mlivyokuwa mnavitumia kujificha;sawa mkuu..ni wakati wenu huu munahaki ya kufurahi.
Sio Mbwa ni Manyani FCsawa MBWA kwa hisani ya PRF. LUC EYMAEL
sasa mbona nyie munatamba kwa vitu ambavyo sisi makolo tumevifanya miaka mingi.Vifuatavyo ni vichaka vyenu mlivyokuwa mnavitumia kujificha;
1. Wa kimataifa.. werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa kimataifa imekufa kifo cha barafu juani.
2. Wa robo fainali.... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa robo fainali, jana imekufa kifo cha barafu juani.
3. Wa ligi ya mabingwa... werewerewerewerewerewereeeeee..fyuuuuu..!! Kimefyekwa. Wa ligi ya mabingwa imekufa kifo cha barafu juani.
HUWEZI MTAMBIA MTU KWA KITU AMBACHO NA YEYE ANACHO
Sisi tunawatambia kumfunga muarabu goli 4, jambo ambalo nyie hamjawahi..!!sasa mbona nyie munatamba kwa vitu ambavyo sisi makolo tumevifanya miaka mingi.
Wale safari imeisha, sisi na majini yetu tumesonga mbele.Majini yanadili na mayele tu mpaka watoke 😂
Mpaka wamezimia😂😂 Kumbe mwakalobo ni nzuri walikuwa wanajishaua😄sasa mbona nyie munatamba kwa vitu ambavyo sisi makolo tumevifanya miaka mingi.
Hahahaaa. Ahsante Mtani.Haha hongereni mtani wangu mstaarabu, wewe na Charles kilian ndio mashabiki pekee wa Yanga mnaojielewa humu JF, wengine wote ni vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]
Wamchukue tu tumroge vizuri ili aseme vyema kabisa.Wale safari imeisha, sisi na majini yetu tumesonga mbele.
Nilipata za ndani kuwa Simba wanataka kumchukua msimu ujao, tujiandae.
Hahahaaa. Wanaombea April isifike. 😀😀kolo's kila wakikumbuka wana match na Yanga kwenye ligi wanakua wadogo kama piriton
Kojoa ukalaleHongera sana kwa viongozi wa Yanga, benchi la ufundi na wachezaji.
Upande wa mashabiki, kwa ukubwa wa Yanga kwa kweli inatia aibu sana. Mashabiki wa Yanga wengi wamekuwa na kelele mitandaoni na mitaani, lakini kwenye mahudhurio vieanjani hakuna kitu kabisa.
Sitashangaa kama yale mahudhurio ya jana, nusu walikuwa ni mashabiki wa Yanga na nusu ni mashabiki wa Simba.
Mahudhurio ya jana hayana tofauti na mahudhurio ya mechi kati ya TP Mazembe na waarabu iliyofanyika Benjamin Mkapa. Yaani wenyeji tena timu kubwa kama yanya inashindana na wageni waliojamishia mechi yao nchini.
Mashabiki wa Yanga badilikeni muanze kuhudhuria viwanjani. Mnawacheka Simba kuzindua Whatsaap group wakati wenzenu kupitia hiyo ndiyo wanajenga mtandao wa kuhamasishana
Lete maneno jirani.Shadeeeeya....
Hawa tunao hawa mpaka ule mdomo wao upungueHahahaaa. Wanaombea April isifike. 😀😀
Kabisa Swahiba.Hawa tunao hawa mpaka ule mdomo wao upungue
Aah mkuu Simba hawana pesa za kumlipa ule mshahara, million 100 tu kwa manzoki walichemka [emoji3]Wale safari imeisha, sisi na majini yetu tumesonga mbele.
Nilipata za ndani kuwa Simba wanataka kumchukua msimu ujao, tujiandae.
Hiyo taarifa nimeipata kutoka ndani kabisa ya uongozi wa Simba.Aah mkuu Simba hawana pesa za kumlipa ule mshahara, million 100 tu kwa manzoki walichemka [emoji3]
Daa Kweli Simba tumeishiwaHiyo taarifa nimeipata kutoka ndani kabisa ya uongozi wa Simba.
Ni kwamba wanamuhitaji, watakubaliana au lah hayo ni mengine.