Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
binafsi sijaelewa. Kwa mfano: hiyo bulizodad akija kushinda kwenye mechi ya mwisho goli tano bila, na Yanga akafungwa. nafasi ya pili kwenye kundi itakuwa timu ganiYaaani ingetokea tungefungwa moja basi tungepata wakati mgumu kufuzu tungelazimika kutafuta sare ingawa game ya mwisho ingekuwa ni ngumu wale waaarabu wangeteteana figisu zingemuwa nyingi ila Ahsante mungu mabeki waliliona hili na kuongeza umakini wasipate goli