Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Vipi kuhusu kolowizardWachambuzi wetu leo upepo unabadilika
utasikia Pamba wamefungwa nyingi kwa sababu walikuwa wachache[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu kolowizardWachambuzi wetu leo upepo unabadilika
utasikia Pamba wamefungwa nyingi kwa sababu walikuwa wachache[emoji1787]
Wachambuzi wetu leo upepo unabadilika
utasikia Pamba wamefungwa nyingi kwa sababu walikuwa wachache[emoji1787]
La msingi pointi!!Mara ya mwisho kuwafunga hao ilikuwa lini ndugu kolo kutoka kusini mwa jangwa la sahara
Jumatatu wanapangiwa makundi11 vs 10 lakini Utopolo bado ni ya kawaida tu
Ila unakubali kuwa kacheza hovyo na si makosa ya refa?Uyu kiungo tulimpa kazi maalumu afanye juu Chin apate red card hakika huu ni zaidi ya ubakaji wa soka
Unataka Yanga wapangiwe nani ili ufurahi?Jumatatu wanapangiwa makundi
KafanyajeKibabage ni mchezaji mpuuzi sana
😂😁😁Mara ya mwisho Simba kupata point dhidi ya Yanga SC ilikuwa liniLa msingi pointi!!
Leta timu yako mwanetu 😎Mchezaji kafanyiwa faulo nje ya box lakini kayumba yumba mpaka kaangukia kwenye box
Na refa kwa sababu ni sehemu ya script wala hata hakutaka kujiuliza mara mbili
Sijui 2021 ile lake Tanganyika fainali ya shirikisho🤣🤣😂😁😁Mara ya mwisho Simba kupata point dhidi ya Yanga SC ilikuwa lini
Nyiingi hapa Watakufa🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC
📆 03.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3113734
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FC
View attachment 3114306
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Goal Baccaaaaaaaaaaa
Dakika 7
Tunashambulia kwa kasi
Dakika ya 12
Yanga SC wanapata Kona
Dakika ya 14
Tunapata Kona tena
Dakika ya 18
Boca anaoneshwa kadi ya njani Aziz k anapiga Free Kick
Dakika ya 24
Mzize anashambulia kwa kasi tunapata Kona hapa
Dakika ya 33
Yng 1 -0 Pmb
Dakika ya 38
Sureboy anacheza madhambi hapa
Dakika ya 41
Aziz k anakosa goli la wazi
Dakika 44
Pmb wanapewa kadi nyekundu
Dakika ya 45+2
Master KIIIIII⚽️
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
View attachment 3114402
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 48
Yanga SC wanashambulia kwa kasi
Dakika ya 52 na 53
Yanga SC wanapata kona pacha hapa
Dakika ya 54
Nzengeli chuma cha tatu
Dakika ya 58
Mzize anakosa goli la wazi
Dakika ya 60
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 78
Yng 3-0 pmb
Dakika ya 81
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 84
Musondaaaa chuma ya 4
Nakazia Hawa makolo maneno meengi we waache tarehe 10 watapata tabu sana hawaSijui 2021 ile lake Tanganyika fainali ya shirikisho🤣🤣
Mana sikumbuki! Tangu ile Ya Mayele akawachomoa goli 2 washawahi kutufunga kweli hawa ?
YaaniHapana watasema! Hata walipokua pungufu bado wameshindwa kufunga nyingi[emoji1787]