Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi aambiwe sio lazima afunge hata kutoa assist amechangia kupata goliMudathir ni mchoyo
Ndio kichaka chenu kipya chakujifichia iki [emoji3][emoji3][emoji3] yani unaona maajabu ihefu kufungwa wakati wewe umepigwa 5Mi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo
Dada Ras upo timu gani?Yanga ni digital simba ni makeniko Simba wanatumia nguvu nyingi sana kupata ushindi wakati yanga ni soft touch. Hii tofauti Simba mnatakiwa muijue kumbaf sana
Umeuliza swali kwa kutumia matako bila shaka?Simba walipofungwa, walipewa pesa ili wacheze chini ya kiwango au walizidiwa tu?
Mm ni YangaDada Ras upo timu gani?
Nasikia harufu ya Goli 5 leoMm ni Yanga
Nasikia harufu ya Goli 5Bado Aziz key na mzize Guede ana goli lake leo jumla yanakua 5
Sii ndio maana wanaitwa mbumbumbuHivi kwanini mbumbumbu wote mnafanana akili?
yapo leo ni suala la mda tuNasikia harufu ya Goli 5