Yehoshafati
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 298
- 596
Unafikiri hiyo propaganda itafanya kazi? Watu wanakamua tu bila kujali maneno ya watuHii mechi inaweza kuisha kwa sare ili kujaribu kufunika soo la GSM kudhamini timu 10 za ligi
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Aki na ukwaa
FutuhiiiiiTatizo la simba ,badala ya kuipigania timu yenu,mjue mnakosea wapi NYIE KUTWA KUISEMA NA KUIJADILI YANGA...NA KUJIFANANISHA NAYO...WAKATI IMEWAACHA KWA MBALI MNOO KWA SASA...POLENI SANA,NENDA KAKOJOE UKALALE ..
Mo gang walipigwa ngapi vileHivi kuna mtu yupo humu anadhani mwigulu gang itashinda?hahahhahahaha mpira wa bongo buana
Naomba uandae na ya wiki ijayo [emoji2957]
Umesema vizuri leo watakiona cha mtema kuni mpaka sasa washakula chuma mbili.Leo tutamtandika huyu msumbufu mpaka atajuta kwanini anatusumbuwa!
Ihefu ataujuwa mpili pili na maua yake leo!
Pwagu na pwaguzi tar5πAki na ukwaa