Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kufunga anatulia vizuri ila ana uchoyo wa kipumbavu pia hajui kutoa pass assistance.Kama niliwahi kusema Mudathiri hana kiwango bora mnisamehe , si unajua tena siku hazifanani siku ingine iluna hela siku nyingine huna unakuwa na mihasira hasira unaropoka
Hata nyie ni vile vile msijifanye nyie mnatutakia heri sana bana... 😊 😊😅😅😅😅ukiangalia Komenti za Simba unacheka tu... Yaani huwa wanaumia yanga kuifunga timu tofauti na Simba!!. Basi
Ile ni kimbunga cha mashwetwainii majiniiiSimba hadi mseme, ile tar 5/11 mlihongwa bei gani, maana ndiyo timu iliyofungwa magoli mengi na Yanga. Hiyo ina maanisha dau lilikuwa kubwa, sasa mje mseme.
Jibu swali wewe mbumbumbu,je Simba ilipopigwa kono la nyani na Yanga GSM iliwapa hela?Umeuliza swali kwa kutumia matako bila shaka?
Hata nyie ni vile vile msijifanye nyie mnatutakia heri sana bana... 😊 😊
Nikikumbuka nacheka sana aiseeIle ni kimbunga cha mashwetwainii majiniii
Kunywa maji ya kutosha moaka msimu uishee utasema maaaaah😅😅Ujinga ujinga tu
Shika adabu yako ikushike na ushikamane wewe na adabu yako kijana!Achana na huyo mlugaluga shem😂😂😂
jezi zakijani
Huyo ni rais unampangia ni kipindi gani cha kushika kibunda.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2]Shika adabu yako ikushike na ushikamane wewe na adabu yako kijana!
[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]!
Hadi hapaMwigulu alisha maliza mambo loooongi
Nawaachaje sasa wenyewe humu? Nipo kuwapa kampani utopolo watani zetu..mm siko kideoni naona kupitia comments za wadau...Kumbe unafuatilia mechi ya hii? Nikajua umepuuza?. Ama kweli vizuri haviziliwi😋😋.
Ogopa hao ni wachawi wanatafuta chokochoko wakutoe busha.Ninachojua ni kwamba mashabiki wa simba wanaongoza kwa matusi na ugomvi
Kama alivyomaliza Mwamedi wakati tunawapiga kono la nyani.Mwigulu alisha maliza mambo loooongi