Yeah kama ihefu pia walivojisifuKama tulivyojisifu 5 November
Huyo naye ni wale wale tu itakuwa hujawahi kuzifuma comments zake mbaya kuhusu Simba, shabiki pekee wa yanga anayejielewa humu jf ni Charles kilian tu, wengine wote ni Vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]
Dear Sister, thank youHuyo naye ni wale wale tu itakuwa hujawahi kuzifuma comments zake mbaya kuhusu Simba, shabiki pekee wa yanga anayejielewa humu jf ni Charles kilian tu, wengine wote ni Vibwengo tu [emoji1787][emoji1787]
Yanga kwenye NBCPL tupo π₯ kinoma ila kule CAFCL huwa tunakuwa mdebwedo sijui kwa nini πKama tulivyojisifu 5 November
Bwashee wangu upoooππ€£Yanga kwenye NBCPL tupo π₯ kinoma ila kule CAFCL huwa tunakuwa mdebwedo sijui kwa nini π
Itabidi tujifunze kwa Simba japo ni mnyonge wetu huku NBCPL ila kule CAFCL katuacha mbali mno.
Nipo mkuu πBwashee wangu upoooππ€£
πAfande Muliro,afande Msangi na afande mkuu wa kituo cha polisi chang'ombe bila shaka wamefurahi sana!! Hawa wakuu hata yanga iwe inacheza kombe la mbuzi wako tiyali kumfanyia hujuma yeyote ili mradi yanga ipate matokeo.
Hakuna Kamati iliyoamua hivyo, ni watu walitoa maoni yao tuHivi ile Mechi ya Yanga/ SHUMILETA FC na Kagera Sugar iliyoisha 0-0 na baadae Kamati kuamua kwamba Bao la Kagera Sugar ni Halali inarudiwa lini? au Kagera Sugar ananyongwa na Yanga anapata Point za dhuluma! Kama ni hivyo, Yanga lolote liwakute Dhuluma ni dhambi.
Umemwona lakini?Ndio sababu ya kumuacha?
Kumbe Jadda ni She?Dear Sister, thank you
Muliro najua ni Uto lia lia...Afande Muliro,afande Msangi na afande mkuu wa kituo cha polisi chang'ombe bila shaka wamefurahi sana!! Hawa wakuu hata yanga iwe inacheza kombe la mbuzi wako tiyali kumfanyia hujuma yeyote ili mradi yanga ipate matokeo.
Kavunja sheria gani?Muliro najua ni Uto lia lia...
Ihefu anakuliwaza sana et..Yeah kama ihefu pia walivojisifu
Huko kwenu yamejaa makata...tuma location nikutumie moja la mahaba likuliwaze usiku huu