Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kwetu ni historia kama historia zingine...Msimu hata haujaisha,ndio kwanza upo kati kati,hiyo historian imetokea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu ni historia kama historia zingine...Msimu hata haujaisha,ndio kwanza upo kati kati,hiyo historian imetokea wapi
Hivi 2012 mlipokula Tano kwenye vodacom premier league tena bila kurudisha hata moja ulikuwa bado haujazaliwa ehHiz
Historia ya Kinjeketile Ngwale,kwanza hata sikuzaliwa miaka hiyo. Nataka kitu nilichoshuhudia mwenyewe kwa macho yangu.
Msimu huu hata haujaisha,ile 5G bado ya moto kabisa.Utajijua kama timu yako inaitwa Yanga..chukua hyoo..labda kama inaitwa Majini fc ndo mpya...
Hajazaliwa wapi huyo kibabu kikongwe...Hivi 2012 mlipokula Tano kwenye vodacom premier league tena bila kurudisha hata moja ulikuwa bado haujazaliwa eh
Nilikuwa sijazaliwaaaa,Mimi najua ya msimu huu 5G safi kabisa.Hivi 2012 mlipokula Tano kwenye vodacom premier league tena bila kurudisha hata moja ulikuwa bado haujazaliwa eh
Limbukeni usinichoshe...Msimu huu hata haujaisha,ile 5G bado ya moto kabisa.
Kweli nilikuwa sijazaliwa,nimekutumia birth certificate PMHajazaliwa wapi huyo kibabu kikongwe...
Niko fresh rafiki yanguSafi mtani vipi uko bien
Unakataa uzee unataka uwe kiben ten?Nilikuwa sijazaliwaaaa,Mimi najua ya msimu huu 5G safi kabisa.
Kono la Nyani jamani,halafu tuliwapiga 5G kukiwa na mvua ya kutosha kabla ya match.Limbukeni usinichoshe...
Sitaki majini mimi...pm huko umeingiaje?Kweli nilikuwa sijazaliwa,nimekutumia birth certificate PM
Mkaribisheni Polisi kwenye Club ya 5G za Yanga za msimu huu.Unakataa uzee unataka uwe kiben ten?
🤣😁😁Bomu mochwari
Kibabu kinakataa 5G ya juzi ya mnyama kinakataa umri wake...Kono la Nyani jamani,halafu tuliwapiga 5G kukiwa na mvua ya kutosha kabla ya match.
Halafu wanajisifu wameuaBomu mochwari
Nimeingia na jini la 5GSitaki majini mimi...pm huko umeingiaje?
Basi Kalpana anasonya tuu hukoWakikuuliza Yanga kafunga ngapi waambie kama zile zile za November 5😀😀