Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Malimbukeniii washamba wa reli...Tulivyowapiga 5G mlikuwa mnacheza au mnakimbia uwanjani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malimbukeniii washamba wa reli...Tulivyowapiga 5G mlikuwa mnacheza au mnakimbia uwanjani?
Sasa si na mm natania au?Mkuu kunywa maji mengi, makasiriko ya nini? Mpira ni furaha na we hauelewi maana ya utani wa jadi?
Malimbukenii washamba..Kumbe tano bado zinawauma hivi? Tutaendelea kuwakeraaaaaa
Waulize CAF...Polisi na Simba wana tofauti gani?
Hata Ngungus Boy anafahamu kuwa hapo 5 November tulisimika mnara wa 5G mitaa ya Msimbazi.Limbukeni wewe....5 mlikula na 6 mlikula yani nyie mashabiki wengine mnaifanya Yanga ionekane kama timu ya kijiwe nongwa...
Malimbukeni washamba..Hata Ngungus Boy anafahamu kuwa hapo 5 November tulisimika mnara wa 5G mitaa ya Msimbazi.
Teh teh teh kweli 5G zinaumaaaaMalimbukenii washamba..
5G tamuuuuuuMalimbukeniii washamba wa reli...
Ingeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...Teh teh teh kweli 5G zinaumaaaa
Together as one[emoji23][emoji23]Ingeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...
Kama timu yako haijapigwa Kono la Nyani na Yanga msimu huu nyosha mkono juu.Ingeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...
Ishakua historia...soma juu hapo ukae kwa kutuliaKama timu yako haijapigwa Kono la Nyani na Yanga msimu huu nyosha mkono juu.
Historia ya Kinjeketile Ngwale,kwanza hata sikuzaliwa miaka hiyo. Nataka kitu nilichoshuhudia mwenyewe kwa macho yangu.Bishana na hizi hapa chini msituchoshe...
View attachment 2910530View attachment 2910531View attachment 2910532
Hakuna kitu yanga imefanya ambacho simba haijafanya, acha wajifariji tu mkuu maana ndio wanafanya hivi vitu kwa mara ya kwanza, siku wakifika hata robo fainali tu cafcl waje tuongee lugha mojaIngeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...
Msimu hata haujaisha,ndio kwanza upo kati kati,hiyo historian imetokea wapiIshakua historia...soma juu hapo ukae kwa kutulia
Utajijua kama timu yako inaitwa Yanga..chukua hyoo..labda kama inaitwa Majini fc ndo mpya...Hiz
Historia ya Kinjeketile Ngwale,kwanza hata sikuzaliwa miaka hiyo. Nataka kitu nilichoshuhudia mwenyewe kwa macho yangu.