FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

Niwakumbushe tu ndugu zangu hii sio mara ya kwanza mtu kula kono la nyani
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.8 KB · Views: 2
Ingeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...
Kama timu yako haijapigwa Kono la Nyani na Yanga msimu huu nyosha mkono juu.
 
Huyo mwanaume Ki budee lazima awakande kila mkikutana...hahahaa
Usiku mwema vyurazzz...
 
Ingeuma sana kama timu yangu ingekuwa haijawahi kuwakanda 5 tena kwa sifuri toka ianzishwe...ila kwa kinachoendelea kwako ni ulimbukeni na ushamba...
Hakuna kitu yanga imefanya ambacho simba haijafanya, acha wajifariji tu mkuu maana ndio wanafanya hivi vitu kwa mara ya kwanza, siku wakifika hata robo fainali tu cafcl waje tuongee lugha moja
 
Hiz

Historia ya Kinjeketile Ngwale,kwanza hata sikuzaliwa miaka hiyo. Nataka kitu nilichoshuhudia mwenyewe kwa macho yangu.
Utajijua kama timu yako inaitwa Yanga..chukua hyoo..labda kama inaitwa Majini fc ndo mpya...
 
Back
Top Bottom