Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Umeelewa pwente yangu mzee baba?Ikawaje kombe likawashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa pwente yangu mzee baba?Ikawaje kombe likawashinda
Si ndio hapo sasa yani mwaka jana tu hapo tuliwapiga Sita na wala hatukupiga kelele ila eti wao wanaona maajabu [emoji3][emoji3]Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Wivu wakiumeUpupu huo uwanjani....
Una huakika mwaka Jana Simba iliipiga yanga sita,unaropoka tuSi ndio hapo sasa yani mwaka jana tu hapo tuliwapiga Sita na wala hatukupiga kelele ila eti wao wanaona maajabu [emoji3][emoji3]
Ni mishamba na milimbukeni aisee...Si ndio hapo sasa yani mwaka jana tu hapo tuliwapiga Sita na wala hatukupiga kelele ila eti wao wanaona maajabu [emoji3][emoji3]
Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Soma amequote kutoka comment ipi...Una huakika mwaka Jana Simba iliipiga yanga sita,unaropoka tu
Ndio mtani😁🤣Kumejaa?? Lol😆😆😆
Mkuu hatutaki magoli zaid, mnara wa 5G unatoshaMarefa wakibongo wakoje?
Unamalizaje mpira ukiwa kwenye kona?
Mbona umekasirika DadaNi mishamba na milimbukeni aisee...
Kitu gani? Polisi hao ndo mnakenua kweli? Mnajiita timu kubwa halafu mnakenua kwa polisi nyie mmeona wamecheza kweli au wanakimbia kimbia tuu humo uwanjani... 😆 😆 ...hapa hata majini hamjatumia walaiKuna watu wanataka kusema Polisi TZ wabovu. Ila wakikumbuka kitu wanaishiaa kukaa kimya
Acha kukurupuka hebu soma tenaUna huakika mwaka Jana Simba iliipiga yanga sita,unaropoka tu
Hata Max mlisema ni Mbappe wa Tanzania.Huyu Inye Gwede Gwede ni mtu na nusu, movement zake ni world class, anapiga vichwa kama vile ametumia miguu, kitaalam tunaita vichwa mashuti
Hapana kaka naongea tuu...Mbona umekasirika Dada
Polisi nae kaona wivu inakuaje 5imba apigwe 5G na yeye nani asionje utamu wa 5GYani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
MbumbumbuMi siongei na malimbukeni...
Polisi na Simba wana tofauti gani?Kitu gani? Polisi hao ndo mnakenua kweli? Mnajiita timu kubwa halafu mnakenua kwa polisi nyie mmeona wamecheza kweli au wanakimbia kimbia tuu humo uwanjani... [emoji38] [emoji38] ...hapa hata majini hamjatumia walai