FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
 
Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Weeee..🤷🤷🤗🤗🤗
 
Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..

Pole sana ,unatekeseka pande za wapi?
 
Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Ikawaje kombe likawashinda
 
Back
Top Bottom