Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Sisi mwaka jana tuliwapiga sita, kama point ni ubora au ubovu basi ihefu nayo ni timu bora sana, au unasemaje hapoKuna watu wanataka kusema Polisi TZ wabovu. Ila wakikumbuka kitu wanaishiaa kukaa kimya