naona kaanza vizur yaan kaanza chini anaend juu sio Max alianza Juuu anaelekea uko chinHuyu Inye Gwede Gwede ni mtu na nusu, movement zake ni world class, anapiga vichwa kama vile ametumia miguu, kitaalam tunaita vichwa mashuti
Nimecheka sanaHaitambuliki, Yanga kama CCM Tu, kidding
Kama tulivyopiga tarehe 5 NovemberDah! au basi tu, kumbe uto wanapiga mabomu Mochwari.
Nilikuwa sijaangalia details
Si mlishasema mmepigwa?Huyu Inye Gwede Gwede ni mtu na nusu, movement zake ni world class, anapiga vichwa kama vile ametumia miguu, kitaalam tunaita vichwa mashuti
Mapepo aka majwini, au mashwetani...in Mayele's VoiceKama tulivyopiga tarehe 5 November
Jamaa bado wamegomaNimecheka sana
Kwani Yanga keshacheza na waarabu mara ngapi na bado gozi likapigwa mbele ya huyo huyo muarabu?Haya uyaseme mkicheza na Mwarabu okey?
Eng Hajawai kukosea, pale kwa fred na jobe ndio tumepigwaSi mlishasema mmepigwa?
Amefanyaje tena?Gwedw gwede nasikia kaibukia polisi
Kafunga 2...Amefanyaje tena?
Nakaribia Chamazi tumseme vizuri
Konikoni alipatia?Eng Hajawai kukosea, pale kwa fred na jobe ndio tumepigwa
Leo atalala na...Kafunga 2...
Haha .. eti inyeHuyu Inye Gwede Gwede ni mtu na nusu, movement zake ni world class, anapiga vichwa kama vile ametumia miguu, kitaalam tunaita vichwa mashuti
Half Time ama?Huyu Gwede kakutana na bomu mochwari