inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Eeeh,anapiga pingu maafande,unyama Sana!!Gwedw gwede nasikia kaibukia polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh,anapiga pingu maafande,unyama Sana!!Gwedw gwede nasikia kaibukia polisi
Kuna nyomi?Viingilio vya mchezo wetu wa leo ASFC dhidi ya Polisi Tanzania
View attachment 2909883
Umesikia kwa nani?Gwedw gwede nasikia kaibukia polisi
😂😂😂Umesikia kwa nani?
Bao 3 lazima uchoke mzeeUto wanachezaje?
mbona kama wamechoka sana
Na hako ka timu?Bao 3 lazima uchoke mzee
Hana tofaut na Skudu nguvu hawanaOkra [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kinda of Warthog [emoji23][emoji23][emoji23]
Hana nguvu kabisaMnamwona Skudu?
heavyless...
Police wanafanya sub ya kipa...
Haka kana afadhal kuliko kale kako kalikopigwa 5GNa hako ka timu?