Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Abbas Kapombe ameingia kuchukua nafasi ya Chikupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kujipendekeza ofsaKubali tu na huko nako ni kujipendekeza. Maana kuna Wizara ya Maliasili na Utalii, na ambayo inafanya kazi nzuri tu ya kuvutia hao watalii.
Hivyo impact yenu kwenye kuvutia watalii kupitia hicho ki logo chenu cha visit Tanzania, naweza kusema ni 0 tu mpaka sasa.
Naona unatoa shule bila adaSio kujipendekeza ofsa
Hapo simba ilipaswa kulipwa kwa kazi nzito ila kwa mapenzi ya nchi yake ameamua kufanya for free
Watalii wengi wa miaka ya hivi karibuni wamekua attracted na Simba
Elimu niliyopata kwa shida mi naitoa bure kwa mapenzi yanguNaona unatoa shule bila ada
🤣🤣Elimu niliyopata kwa shida mi naitoa bure kwa mapenzi yangu
Kufanyaje?
Mkuu endelea kutoa update kila dakika Mungu atakulipa.
Kumbe mnakereka sana eeh na ule mtetemo au ndio mnapenda kimoyomoyo na pengine msikute mnajifungiaga chumbani mkitetema.Aisee usikute pamoja na mazingira hayo ya goli lakini mchizi bado katetema
Kufanyaje?
Kumiliki ng'ombe?
Sio kujipendekeza ofsa
Hapo simba ilipaswa kulipwa kwa kazi nzito ila kwa mapenzi ya nchi yake ameamua kufanya for free
Watalii wengi wa miaka ya hivi karibuni wamekua attracted na Simba
Kuna janja janja sana kwenye huu mpira wa bongoVilabu bado vinavaa nembo ya GSM vipi wanalipwa?
50'Mkuu endelea kutoa update kila dakika Mungu atakulipa.