FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Young Africans watashuka dimbani kuwakaribisha TP Mazembe ktk mchezo wa kombe la shirikisho afrika.

Yanga ina historia ya kufungwa na Mazembe mara nyingi. Leo wataweza kupindua meza? Yanga wanapaswa washinde ili kulinda heshima ya nchi.

Mazembe wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ktk mchezo huo utakaofanyika saa 1 usiku.
FT TUTAFUNGWA
2-1/3-1/3-2
ALL NNALL.TUFUNGWE LAKINI PESA YA MAMA SAMIA AIKWEPEKI LAZIMA TUILEEEEEEE HATA KWA GOLI MOJAA+
 
Full time
Yanga 3 : Tp Mazembe 1
Yanga 2 : Tp Mazembe 1

Mpira utakuwa na presha kubwa, kadi nyingi za njano pande zote, malumbano ya hapa na pale.
Kishabiki unaweza ukasema unashinda goli 10 ili kuji comfort tu

Kibiashara huwezi ukaweka rehani pesa yako kwa utabiri wa goli 10 kwasababu ni too risk

Hiyo prediction yako ni kishabiki au kibiashara?
 
Kila la Kheri wawakilishi wetu wa Tanzania



February 18, 2023
Dar es Salaam, Tanzanie

Christian KOUAME - Tunaiheshimu Dar Yanga Young Africans


Yamejiri wakati wa Pre-match press conference ya TP Mazembe ambapo midfielder mkabaji Christian Kouame raia wa Ivory Coast anayeicheza klabu hiyo ya mpira wa miguu ya nchini DR Congo akiongea kwa niaba ya wachezaji wa TP Mazembe kuelekea mechi yao ya jumapili tarehe 19 February 2023 jijini Dar es Salaam Tanzania
Source : Tout Puissant Mazembe


Pamphile MIHAYO, Coach TP Mazembe - Yanga ni Klabu Kubwa , Tumejitayarisha Vyema


Confederation of African Football - CAF
Confederation Cup - C2
Group Stage - Matchday 2
Benjamin Mkapa Stadium - Dar-es-Salaam (Tanzania)
Young Africans Football Club - Tout Puissant Mazembe
Pre-match press conference
Pamphile MIHAYO, Coach
Source : Tout Puissant Mazembe
 
Huyu Hapa Nawaambieni Mapemaa, Leo Ni Huyu Bhn [emoji23]
IMG_0507.jpg
 
Ila goli tatu zinaumiza bana.

Wale waanzisha uzi maarufu za game za Timu ya Wananchi leo hamu imewatoka kabisa yaaani. Teh teh.

#HapanachezeaTatumzuka. Teh teh.
Kwa kweli jana walipigwa na kitu kizito kisogoni. Kuna shabiki mmoja kwa jina la Kalpana, ilifikia wakati alikuwa anatuma tu ujumbe wa aina moja
Raja Casablanca 6 Yanga 0!! 😃
Raja Casablanca 6 Yanga 0!!


Mechi walikuwa wanacheza simba na Raja Casablanca, yeye akajikuta amepoteza kabisa network kichwani! Kufungwa kunauma aisee! 😃
 
Back
Top Bottom