Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Usisahau Yanga tuna wachezaji wengi Wakongoman waliokuwa wakicheza katika klabu ya As Vita.Ukifungwa utakimbia humu. Leo tutaona bamutu ya Kinshasa,Bukavu ikipiga sebene Shadeeya
Hivyo wachezaji wataingia wakiwa hawana hofu kama wale wa simba dhidi ya Waarabu.