Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, kujifunza ni muhimu tumechagua watu wa propaganda zaidi kuliko watu wa mpira....just imagine mwenyekiti agenda yake ni kuifunga yanga si ujinga huoNi kweli Yanga wanaimarika kila siku na wamesajili vizuri.
Unajua sisi Simba tulikuwa na tatizo ambalo lilitufanya tukasahau kuwapa pressure ya usajili viongozi.
1. Propaganda za usajili wa majina makubwa
2. Kufunga goli nyingi mechi zisizo na umuhimu.
wote wanakuwa wabovu wakikutana na yanga tofauti na hapo wanaonekana wakaliSimba wabovu ila Mazembe wabovu zaidi.
Hatutoi,tutoe site tumekuwa ThimbaMta toa mtoi
ni ruksa kujifarijiMechi ya kiwango cha chini mno hii.
Ningoje nimalize mechi mzee.Wee bwan molel Muda was kubishana huku unatoa wapi kamalize Kwanza ile story yako kule Kisha uje huku
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yeah, ni kikundi kama kile cha wachawi kilichoingia kinyumenyumeHii sio Mazembe
Ni kikundi cha wanamuziki wa Kikongo.
Kunywa fanta nyeusi upunguze unoko.Mechi ya kiwango cha chini mno hii.
Mwambie aje upande wa pili nimtoroshe[emoji3]Alafu mke wa Shabiki wa Simba nae jana yuko pale bar kavaa jezi ya Simba anasema yuko tayari, akiaamini Yanga haiwezi funga TP Mazembe, alafu saa hz wako bar hii hii wanasubiria mpira uishe... Ah ha haaaa nyiee
Watu wanashabikia mke wa jamaa kuliwa leo, hii imekaaje jamani ha haa