Ni kweli, kujifunza ni muhimu tumechagua watu wa propaganda zaidi kuliko watu wa mpira....just imagine mwenyekiti agenda yake ni kuifunga yanga si ujinga huo
Na huyu msemaji wetu aache propaganda zisizo na maslahi kwa timu. Mara nyingi tu nimemsikia akifanya propaganda ambazo hazina uhalisia na si Afya kwa timu.
 
Kubeti kwa namna hii ni UPUNGUANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…