Alafu hawa jamaa si tuliwapelekea mabasi wakakataa kupanda hawaa?!!,


Et wanaurafiki na makolo nini??walihisi na Sisi tutawarogaa[emoji23][emoji23]
 
Simba jana tulikutana na timu imara..leo naona wanacheza pipa na mfuniko!
 
Naona wanaanza ku negotiate itakuwaje hata mechi haijaisha, jamaa kakataa anasubiri mechi iishe, naona hapa itatokea ngumi ndio itaamua, mke katulia wasiwasi umemjaa sana, tatizo kujulikana unaenda kuliwa wazi wazi wazi, hilo ndio tatizo
Ni kweli!? Ama ni changamsha genge mkuu!??
 
Moderator mtu asianzishe uzi kama hawezi kuusimamia kwa kuweka updates. Kuanzisha uzi isiwe sifa, au kutengeneza kijiwe cha soga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…