Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ingiza timu yako tuipige kinyumenyumeHii sio Mazembe
Ni kikundi cha wanamuziki wa Kikongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingiza timu yako tuipige kinyumenyumeHii sio Mazembe
Ni kikundi cha wanamuziki wa Kikongo.
mpira mchezo wa wazi.Hii ndio shida yenu makolo hamtaki kukubali ukweli
Mpunga wa mama,wanahonga nusu,nusu wanabak nayo ndo ulkua mpango waoSio bure kuna namna hapa [emoji3525]
Kelele Zitakuwa Nyingi Sana..Wacha Tusubiri Kuona..!Kalpana OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Bill Mtoto halali na hela Kambi ya Fisi Shunie Makiwendo Hello kwa Mkapa hatoki mtu...
TP Mazembe ni wazembe...
Natambua uwepo wako mpendwa wetu be blessed SanaJiraniii jirani yetuu eee sisi tushachukua hela za Mama,nyinyi mlizikataa jana jiraniii ee sisi tumezichukua,mnapotuna mnashangaza jiraniii hatukuwakataza kuchukuaaaa
Sasa tuwaeleweje jiraniii eee sasa tufanye nini jirani. Sisi na nyie ni kitu kimojaaaa haina maana ooh haina maaana kununiana,sisi na nyie ni majiraniii oooh haina maana haina maana kukosa raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc Jirani from twanga pepetaa
Hawakuwa hawa uchwara. Akina Kalaba ilikuwa ni fire sio kama hawa akina MukokoWalikupiga 4 o'clock hawa
Mkutane nao wapiSimba msijali siku tukija kukutana na raja Casablanca tutawalipizia kisasi ndugu zetu
[emoji23][emoji23][emoji23]jmn nitalewa leoonikikumbuka kocha wako anampa zawadi kibu kwamba ni bonge la mchezaji nakubaliana na wewe kabisaaaa
Nipo Daddy hapahapa dr namugari nina furahia ushindi wetu.
AamenLeo ni Leo, itakabwa mpaka penati.
yanga 2,Tusubirie mtanange tuone mikimbio mizuri na wakunja bukta.
Sakho ni mkongo?Hivi kuna chemistry gani kati ya wakongo na breach?
Kesho wahi mahakamani kesi ya FeisalKumbe hawa rejects wa utopolo ndio wako Mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu wanashangilia kuwafunga🫣🫣🫣
Kwenye caf super up dhidi ya Raja bingwa wa Caf Champions leagueMkutane nao wapi