FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Jiraniii jirani yetuu eee sisi tushachukua hela za Mama,nyinyi mlizikataa jana jiraniii ee sisi tumezichukua,mnapotuna mnashangaza jiraniii hatukuwakataza kuchukuaaaa

Sasa tuwaeleweje jiraniii eee sasa tufanye nini jirani. Sisi na nyie ni kitu kimojaaaa haina maana ooh haina maaana kununiana,sisi na nyie ni majiraniii oooh haina maana haina maana kukosa raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Cc Jirani from twanga pepetaa
Natambua uwepo wako mpendwa wetu be blessed Sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yanga inaimarika na haya mashindano ya walioshindwa yatawaimarisha zaidi na msimu ujao simba tusiposajili wanaweza kutusumbua zaidi hawa vyura halafu tukajikuta tunashindwa hata kufuzu kwenye mashindano makubwa.
 
p_6832124121384522232757_0_5e7075bc9850341bc4dd7edf10dd5eca.jpg

Michyeosseo[emoji35]
 
Back
Top Bottom