Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe shoga Mara ngapiYanga ikishinda mm shoga
Izo mkuu account fake
Awe shoga Mara ngapi mpumbavu huyu anainajis timu yet kwa kuwafananisha na mashogaYanga tayari imeshinda 3-1! Ni wakati wako sasa wa kutoa mrejesho.
Lahaula mtoto si rizikiYanga ikishinda mm shoga
Sisi wana Yanga hatujakasirika ww unaumia nn? Na hapa ndo lile jina mlilopewa na rage tunaamini mnalistahiliYaani katoa tu Assist Moja ( tena ya Kubahatisha ) kwa Tuisila Kisinda na Kufunga Goli cha Kushangaza Yeye ( Mayele ) ndiyo anawakimbilia Mashabiki akijitambia kwa Kupigapiga Kifua na Manyonyo yake utadhani Kafunga Yeye hilo Goli.
Kama isingekuwa Kupenda Kwake Sifa na kuwa Mchoyo leo Yanga SC kupitia Yeye ( hasa kwa kutoa Pasi ) kwa Wenzake ingeibuka na Goli zaidi ya hizi Tatu walizomfunga leo TP Mazembe FC Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam Tanzania.
Mayele aambiwe Ukweli kuwa haichezei Jina lake bali anaichezea Klabu ya Yanga iliyomsajili hivyo Muhimu ni Timu Kushinda na siyo Mayele Kafunga ngapi au Katetema mara ngapi.
Siku hizi nae kawa Mswahili mno.
Mkishashiba mnaanza matusiYaani katoa tu Assist Moja ( tena ya Kubahatisha ) kwa Tuisila Kisinda na Kufunga Goli cha Kushangaza Yeye ( Mayele ) ndiyo anawakimbilia Mashabiki akijitambia kwa Kupigapiga Kifua na Manyonyo yake utadhani Kafunga Yeye hilo Goli.
Kama isingekuwa Kupenda Kwake Sifa na kuwa Mchoyo leo Yanga SC kupitia Yeye ( hasa kwa kutoa Pasi ) kwa Wenzake ingeibuka na Goli zaidi ya hizi Tatu walizomfunga leo TP Mazembe FC Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam Tanzania.
Mayele aambiwe Ukweli kuwa haichezei Jina lake bali anaichezea Klabu ya Yanga iliyomsajili hivyo Muhimu ni Timu Kushinda na siyo Mayele Kafunga ngapi au Katetema mara ngapi.
Siku hizi nae kawa Mswahili kuliko.
Ndioooo tatu mzuka.Tatumzuka
Kushinda raha sana swahiba asikwambie mtuDuuh! Pole Swahiba.
Ila kwa kuwa tumeshinda hiyo foleni si kitu. Hahahahaaa.
Bado wanamrudia muarabu kinyume nyumeKwanza muukize wameshaanza kwenda mbele au bado wanarudi kinyume nyume tu!!
🤣🤣🤣🤣Kama jana.
Bora mmetusaidia kulipa kisasi kama taifa
Wananchi tukiahidi tunatekelezaHeshima inarejeshwa leo.