joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.
Alicheza mechi Gani Tena janaYanga alitumia nguvu kubwa kuicheza mechi ya jana akasahau ratiba imembana
Dube kwenye mechi ipi? Ilishapita. Tupo kwenye mechi hii. Anyway, ishatokea haina maana tena, mpo pungufu. Tulieni chezeni mpira.Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........
Ukichora line hakuwa wa mwisho.
Ila swali langu la Dube unaliruka.
Alicheza mechi Gani Tena janaYanga alitumia nguvu kubwa kuicheza mechi ya jana akasahau ratiba imembana
Ya Derby ,ingekuwa haina maana msinge mzungumzia Kayoko mpaka leo.Dube kwenye mechi ipi? Ilishapita. Tupo kwenye mechi hii. Anyway, ishatokea haina maana tena, mpo pungufu. Tulieni chezeni mpira.
Haww kenge ilikua ni swala la mda tu , ngoja tuone🤣Red kadi imetolewa baka nje, halafu Yanga wapo nyuma kwa goli moja dk 38
Kisiwe cha shimo tu mkuu.Nachekea chooni
Kayoko tena?Ya Derby ,ingekuwa haina maana msinge mzungumzia Kayoko mpaka leo.
MashujaaAlicheza mechi Gani Tena jana
Kayoko tena?Ya Derby ,ingekuwa haina maana msinge mzungumzia Kayoko mpaka leo.