Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Au zinakuja post zaidi ya tanoMaxence Melo mmroigwa DDOS tena? Ili ukoment lazima urefresh kwanza kila muda nakutana na error
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au zinakuja post zaidi ya tanoMaxence Melo mmroigwa DDOS tena? Ili ukoment lazima urefresh kwanza kila muda nakutana na error
Tunacho jua uto kapakatwa🤗Utawa adjust wazee utaweza?
Sometimes mnampa lawama za bure kocha tu.
Tunakumbushana tu,kuna wenzenu kila siku wanafungua uzi.Nakukumbusha tena na Coastal refa anamaliza mpira kwenye movie ambayo ingewezekana kuwapa faida Coastal ya goal,jana refa kaongeza dk sita,ila mkapata goli dk ya sita na sekunde 20.Mkuu, mechi ni Yanga vs Azam.
Hiyo foul hawaangalii mstari kama offside inavyoangaliwa, kwa hiyo usijisumbue kuchora mstari. Hiyo foul kwa lugha ya soka inaitwa Professional Foul Last Man, kinachoangaliwa ni uwezekano wa beki mwingine kuja kuokoa baada ya beki mcheza faulo kupitwa. Kama kulikuwa na uwezekano wa Boka kuja kuokoa, isingekuwa red card, ila kama yuko mbali na asingeweza kuja kuokoa, basi inakuwa red card.Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........
Ukichora line hakuwa wa mwisho.
Ila swali langu la Dube unaliruka.
Kwanini?Namuonea huruma Mpumelelo
Kwanini?Namuonea huruma Mpumelelo
Mechi ya 9 hii no assist no goal
HahahaSafi sana mkuu , usisahau nyama choma , huku ukishuhudia uto wakipakatwa🤣🤣
wanafanya mashambulizi ya kushitukiza yanga iongeze umakiniSjui ni uwezo mdogo, Azam hawana tena kasi ya kushambulia wamerelax baada ya KUPATA goal.
Huyu
Hii imekaa kinyoooooo sanaWanajijua ila wamekaa kimya ila uzuri hatukulalamika.
Huyo kwani ni Jakaya au Sunday Manara hadi akuelewe?Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.
Mimi mwenyewe nimewa mention kwa tatizo hilo hilo sijui mfumo wao umefanyaje yani comment zinaji post mara mbili mbili.
HahahaSafi sana mkuu , usisahau nyama choma , huku ukishuhudia uto wakipakatwa🤣🤣
Mkuu, embu shusha pumzi. Kwani ndo mara ya kwanza kupewa kadi nyekundu?Tunakumbushana tu,kuna wenzenu kila siku wanafungua uzi.Nakukumbusha tena na Coastal refa anamaliza mpira kwenye movie ambayo ingewezekana kuwapa faida Coastal ya goal,jana refa kaongeza dk sita,ila mkapata goli dk ya sita na sekunde 20.
Sasa pata picha jana refa angemaliza mpora wakati nyie mkienda kupiga kona,leo angekuwa vinywani mwenu, maana mpaka baadhi ya mashabiki wenu Wazee waliomba wahame ligi, huku Mangungu akasema ameya chukua maoni yao.
Jigunzeni kuwa watu wa mpira marefa nao ni binadamu, Arajiga ni refa mzuri ila kuteleza kupo,ila nyie msimu huu haulielewi hili nyie na viongozi wenu.
Tena ww umekuja mwenyewe, malamiko FC ile ya Dube siku ile ya Derby ilikiwa inaitwaje au sio "Professional Foul Last Man".?Halafu makalamika nyie.Hiyo foul hawaangalii mstari kama offside inavyoangaliwa, kwa hiyo usijisumbue kuchora mstari. Hiyo foul kwa lugha ya soka inaitwa Professional Foul Last Man, kinachoangaliwa ni uwezekano wa beki mwingine kuja kuokoa baada ya beki mcheza faulo kupitwa. Kama kulikuwa na uwezekano wa Boka kuja kuokoa, isingekuwa red card, ila kama yuko mbali na asingeweza kuja kuokoa, basi inakuwa red card.
Mechi ya 9 hii jamaa anapambana lakini hakuna assist wala goli.Kwanini?