joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Uzuri hata hasipo funga anaweza kucreate mtu afunge bila kusahau kusaidia kukaba, kwani Yanga viungo wetu wote wana uwezo wa kufunga.Tafuteni Forward, mpaka muda huu Yanga hawana Forward inayojielewa.!
Mzize mtu wa Papatu Papatu....
Tafuteni Forward, mpaka muda huu Yanga hawana Forward inayojielewa.!
Mzize mtu wa Papatu Papatu....